Pre GE2025 CCM imsimamishe ndugu Masanja Kadogosa kugombea urais mwakani (2025)

Pre GE2025 CCM imsimamishe ndugu Masanja Kadogosa kugombea urais mwakani (2025)

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)

Mcheza Piano

JF-Expert Member
Joined
Mar 2, 2024
Posts
562
Reaction score
1,339
Imefika wakati kama taifa tuchague watu wenye maono ambao wanaweza kutumia rasilimali za nchi yetu kuijenga nchi yetu.

Hakuna sababu yoyote ya msingi inayozuia Tanzania kuwa kwenye orodha ya nchi tajiri duniani. Kinacho kosekana kwetu ni viongozi wenye maono na wazalendo.

Baada ya kumchunguza kwa muda mrefu, nimejiridhisha kuwa ndugu Masanja Kadogosa ndiye mwana CCM pekee mwenye uwezo wa kuivusha hii nchi toka hapa ilipo.

Haya ni maoni yangu na ni ukweli mchungu. CCM kaeni chini mji tathmini.

Pia soma: Kuelekea 2025 - Kinyang'anyiro cha Urais 2025 kwa tiketi ya CCM: Dkt Mwinyi kuwania Urais wa Muungano?
 
Anunue mabehewa ya mizigo kama mifugo, Kokoto, madini, mbao, mazao, mafuta, gesi/LPG, nk ili aifufue TRC. Awashauri Serikali wajenge ICD mpya pale Morogoro ambayo hatopewa mwekezaji ili kutunza kontena na mizigo za wateja wake. Kadogosa ajenge urathi wake kwanza ndio awaze kugombea Urais wa Nchi.
 
Leo sina hamu ta kutukana, bahati yako, huyo aendelee kupita pita Simiyu huko, anaweza kuokota jimbo
 
Imefika wakati kama taifa tuchague watu wenye maono ambao wanaweza kutumia rasilimali za nchi yetu kuijenga nchi yetu.

Hakuna sababu yoyote ya msingi inayozuia Tanzania kuwa kwenye orodha ya nchi tajiri duniani. Kinacho kosekana kwetu ni viongozi wenye maono na wazalendo.

Baada ya kumchunguza kwa muda mrefu, nimejiridhisha kuwa ndugu Masanja Kadogosa ndiye mwana CCM pekee mwenye uwezo wa kuivusha hii nchi toka hapa ilipo.

Haya ni maoni yangu na ni ukweli mchungu. CCM kaeni chini mji tathmini.

Pia soma: Kuelekea 2025 - Kinyang'anyiro cha Urais 2025 kwa tiketi ya CCM: Dkt Mwinyi kuwania Urais wa Muungano?
Kupata vichekesho hivi nibonyeze namba gani?
 
Kwani anayefañya SGR isiishe ni nani?
Na pesa iko wapi?
 
Imefika wakati kama taifa tuchague watu wenye maono ambao wanaweza kutumia rasilimali za nchi yetu kuijenga nchi yetu.

Hakuna sababu yoyote ya msingi inayozuia Tanzania kuwa kwenye orodha ya nchi tajiri duniani. Kinacho kosekana kwetu ni viongozi wenye maono na wazalendo.

Baada ya kumchunguza kwa muda mrefu, nimejiridhisha kuwa ndugu Masanja Kadogosa ndiye mwana CCM pekee mwenye uwezo wa kuivusha hii nchi toka hapa ilipo.

Haya ni maoni yangu na ni ukweli mchungu. CCM kaeni chini mji tathmini.

Pia soma: Kuelekea 2025 - Kinyang'anyiro cha Urais 2025 kwa tiketi ya CCM: Dkt Mwinyi kuwania Urais wa Muungano?
Ulevi wa mapema mbaya sana
 
Ubunge tu umemshinda kule kwao usukuman had wakatanua magoli, ndo ije kuwa urais mabehewa tuliooaminishwa na yaliyoletwa ni vitu viwili tofaut
 
Back
Top Bottom