Poppy Hatonn
JF-Expert Member
- Apr 9, 2021
- 3,095
- 4,632
Nasikia habari hizi Dr. Emmanuel Nchimbi atakwenda Butiama kijijini kwa Mwalimu Nyerere.
Lakini sijapata mtu wa kumuuliza.
Certainly hapa kijijini Butiama kuna maandalizi ya kumpokea mgeni but I don't know who.
Labda nimuulize Lucas Mwashambwa.
Lakini sijapata mtu wa kumuuliza.
Certainly hapa kijijini Butiama kuna maandalizi ya kumpokea mgeni but I don't know who.
Labda nimuulize Lucas Mwashambwa.