johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 97,869
- 171,716
Hahahaaaa....... Uwoga ni dalili za usaliti by mzee Butiku!akili yako imeganda
Huyo aliyeshika funguo ni Jiwe mwenyewe ?Hali hii kwa CCM sio bahati mbaya bali calculated movementView attachment 1531138View attachment 1531143
Wakati flani naonaga kama una akili kidogo, lkn wakati mwingine mmmmh!Huo ni mtazamo wangu.
Watanzania wa leo wana uwezo wa kuchanganua mambo yanayotoka kwenye vinywa vya wanasiasa wakilinganisha na data/ takwimu halisi.
Kama CCM inafikiria kumuhofia mtu basi mtu huyo awe Prof Lipumba siyo Tundu Antipas Lisu.
Tunaiona Caanan ng'ambo Mussa tuvushe!