Kila siku anatoa habari mara Tegeta nyuki au kwa NdevuππHaijawahi ishi huko... Whisky zake enzi zile alikuwa ananywea kama siyo Aficana basi ni New Africa Hotel.
Na mshati yake ya vitenge...π π π€£π
Ana mpango wa kando kule!!!Kila siku anatoa habari mara Tegeta nyuki au kwa Ndevuππ
Basi nakuwacha utanikausha mate!Kwanza CCM haina Jeshi. Hapo inaonesha hujui kinachoongelewa.
Pili siyo CCM inayopanga itoke lini madarakani, bali nyakati.
Siyo kila hoja inawahusu nyie!!Basi nakuwacha utanikausha mate!
Ni ujinga wa viwango vya juu kabisaMwenyekiti wa CCM Ndio Amiri Jeshi Mkuu
Hapo ni Ngumu kutenganisha Usiasa kwenye Ulinzi
Kabisa...Ni ujinga wa viwango vya juu kabisa
Huyo amevuka kwenye uchawa ni kunguni kabisa.Kwani johnthebaptist ni chawa mzee?
Kuna tofauti ndogo sana kati ya CCM na Bokoharam,tofauti yenyewe ni uwa CCM inatekeleza ugaidi wake kwa kutumia vyombo vya dola.Huo ndiyo uhalisia.
Walipoambiwa wawapige CHADEMA na kuzuia mikutano yao walitekeleza.
Leo wameambiwa wawaache basi mpaka wanawasindikiza kwenye maandamano yao.
Nchi hii mchawi ni CCM.
Hili jambo linafikirisha sana.Kuna tofauti ndogo sana kati ya CCM na Bokoharam,tofauti yenyewe ni uwa CCM inatekeleza ugaidi wake kwa kutumia vyombo vya dola.
Dictator SamiaMwenyekiti wa CCM Ndio Amiri Jeshi Mkuu
Hapo ni Ngumu kutenganisha Usiasa kwenye Ulinzi
Vijana badala ya kusoma na kuelewa mambo ya dunia, tunawaelekeza kwenye siasa ambako wizi wa baba zao, mama zao, shangazi zao, wajomba zao walioko kwenye siasa wanaona ndo sehemu ya kuiba pesa umma na kutajilika.Kwa kipindi kirefu sana CCM imekuwa ikisiasisha usalama (Politicize national security) wa Taifa letu.
Mwanzoni wengine wenye umri mkubwa kidogo ingawa hatujafikia umri wa kina johnthebaptist tulielewa.
Huko tulikotoka kabla ya mwaka 1992 mfumo wa vyama vingi uliporudishwa tena, mambo ya ulinzi na usalama wa nchi yetu yalisimamiwa moja kwa moja na CCM.
Mfumo wa ulinzi na usalama moja kwa moja ulifungamanishwa na uongozi wa CCM kupitia Umoja wa Vijana Tanzania (UVT).
Ilikuwa kama haiwezekani kabisa kuwa Askari Polisi, Askari Magereza, Afisa usalama wa Taifa au Askari Jeshi la wananchi bila ya kuwa mwana CCM na kuthibitishwa kama unafaa na viongozi wa UVT.
Kwa ivo kuwa na mabaki ya watu ndani ya mifumo ya ulinzi na usalama wanaoamini mhimili wa mifumo hiyo ni CCM haikusangaza sana.
Lakini Leo zaidi ya miaka 32 tangu Sheria ya kuvitenganisha vyombo vyetu vya ulinzi na usalama toka CCM ilipotungwa, kuona vyombo hivyo kama bado vinaendeshwa chini ya CCM, inasikitisha sana.
Ulinzi na usalama ni tasnia/fani ya jeshi/sanaa ambayo Taifa huwekwa mbele kuliko taasisi nyingine yoyote Ile.
Lakini Kwa Tanzania ni kama CCM ni vyombo vya ulinzi na usalama na Vyombo vya ulinzi na usalama ni CCM.
CCM kusiasisha vyombo vyetu vya ulinzi na usalama kutoka kwenye misingi ya kazi zao na kuwa sehemu ya kuilinda CCM badala ya serikali, kumeua ufanyaji kazi kiweledi wa vyombo hivyo.
Jambo hili ni la hatari sana kwani inaweza kufika mahali vyombo hivyo vya ulinzi na usalama vikaanza kudhani maadui wa CCM ni maadui wa Taifa letu pia.
Vyombo vya ulinzi na usalama vinapoacha (Compromise) misingi ya kuwepo kwake, Taifa haliwi salama tena bali hujawa na hofu inayoleta utulivu bandia.
Akiambiwa aoneshe chanzo cha hizo pesa zake ataweza?Vijana badala ya kusoma na kuelewa mambo ya dunia, tunawaelekeza kwenye siasa ambako wizi wa baba zao, mama zao, shangazi zao, wajomba zao walioko kwenye siasa wanaona ndo sehemu ya kuiba pesa umma na kutajilika.
It is revealingThis time around, hata wakodi majirani,
Anguko ni dhahiri,
Malaika watakuwa waangalizi wa uchaguzi ujao 2024&2025.
Umenikumbusha kuhusu cheo cha mwenyekiti wa ulinzi wa wilaya na mkoaKwa kipindi kirefu sana CCM imekuwa ikisiasisha usalama (Politicize national security) wa Taifa letu.
Mwanzoni wengine wenye umri mkubwa kidogo ingawa hatujafikia umri wa kina johnthebaptist tulielewa.
Huko tulikotoka kabla ya mwaka 1992 mfumo wa vyama vingi uliporudishwa tena, mambo ya ulinzi na usalama wa nchi yetu yalisimamiwa moja kwa moja na CCM.
Mfumo wa ulinzi na usalama moja kwa moja ulifungamanishwa na uongozi wa CCM kupitia Umoja wa Vijana Tanzania (UVT).
Ilikuwa kama haiwezekani kabisa kuwa Askari Polisi, Askari Magereza, Afisa usalama wa Taifa au Askari Jeshi la wananchi bila ya kuwa mwana CCM na kuthibitishwa kama unafaa na viongozi wa UVT.
Kwa ivo kuwa na mabaki ya watu ndani ya mifumo ya ulinzi na usalama wanaoamini mhimili wa mifumo hiyo ni CCM haikusangaza sana.
Lakini Leo zaidi ya miaka 32 tangu Sheria ya kuvitenganisha vyombo vyetu vya ulinzi na usalama toka CCM ilipotungwa, kuona vyombo hivyo kama bado vinaendeshwa chini ya CCM, inasikitisha sana.
Ulinzi na usalama ni tasnia/fani ya jeshi/sanaa ambayo Taifa huwekwa mbele kuliko taasisi nyingine yoyote Ile.
Lakini Kwa Tanzania ni kama CCM ni vyombo vya ulinzi na usalama na Vyombo vya ulinzi na usalama ni CCM.
CCM kusiasisha vyombo vyetu vya ulinzi na usalama kutoka kwenye misingi ya kazi zao na kuwa sehemu ya kuilinda CCM badala ya serikali, kumeua ufanyaji kazi kiweledi wa vyombo hivyo.
Jambo hili ni la hatari sana kwani inaweza kufika mahali vyombo hivyo vya ulinzi na usalama vikaanza kudhani maadui wa CCM ni maadui wa Taifa letu pia.
Vyombo vya ulinzi na usalama vinapoacha (Compromise) misingi ya kuwepo kwake, Taifa haliwi salama tena bali hujawa na hofu inayoleta utulivu bandia.
Hatari kubwa sana iliyopo ni kwamba Vyombo vya Ulinzi na Usalama (Majeshi) popote pale duniani huwa vina Misingi, Miiko na Maadili yake ambayo ni LAZIMA ifuatwe na kuzingatiwa kikamilifu, kitendo chochote kile ambacho kitakiuka au kuvunja miiko hiyo husababisha Chombo husika cha Ulinzi au Jeshi hilo kugeuka na Kundi la Kigaidi, badala ya kuwa Jeshi katika nchi.Kwa kipindi kirefu sana CCM imekuwa ikisiasisha usalama (Politicize national security) wa Taifa letu.
Mwanzoni wengine wenye umri mkubwa kidogo ingawa hatujafikia umri wa kina johnthebaptist tulielewa.
Huko tulikotoka kabla ya mwaka 1992 mfumo wa vyama vingi uliporudishwa tena, mambo ya ulinzi na usalama wa nchi yetu yalisimamiwa moja kwa moja na CCM.
Mfumo wa ulinzi na usalama moja kwa moja ulifungamanishwa na uongozi wa CCM kupitia Umoja wa Vijana Tanzania (UVT).
Ilikuwa kama haiwezekani kabisa kuwa Askari Polisi, Askari Magereza, Afisa usalama wa Taifa au Askari Jeshi la wananchi bila ya kuwa mwana CCM na kuthibitishwa kama unafaa na viongozi wa UVT.
Kwa ivo kuwa na mabaki ya watu ndani ya mifumo ya ulinzi na usalama wanaoamini mhimili wa mifumo hiyo ni CCM haikusangaza sana.
Lakini Leo zaidi ya miaka 32 tangu Sheria ya kuvitenganisha vyombo vyetu vya ulinzi na usalama toka CCM ilipotungwa, kuona vyombo hivyo kama bado vinaendeshwa chini ya CCM, inasikitisha sana.
Ulinzi na usalama ni tasnia/fani ya jeshi/sanaa ambayo Taifa huwekwa mbele kuliko taasisi nyingine yoyote Ile.
Lakini Kwa Tanzania ni kama CCM ni vyombo vya ulinzi na usalama na Vyombo vya ulinzi na usalama ni CCM.
CCM kusiasisha vyombo vyetu vya ulinzi na usalama kutoka kwenye misingi ya kazi zao na kuwa sehemu ya kuilinda CCM badala ya serikali, kumeua ufanyaji kazi kiweledi wa vyombo hivyo.
Jambo hili ni la hatari sana kwani inaweza kufika mahali vyombo hivyo vya ulinzi na usalama vikaanza kudhani maadui wa CCM ni maadui wa Taifa letu pia.
Vyombo vya ulinzi na usalama vinapoacha (Compromise) misingi ya kuwepo kwake, Taifa haliwi salama tena bali hujawa na hofu inayoleta utulivu bandia.
Wametengeza kundi la unyumbu, unyumbu wa kisiasa ni tabia ya waliopewa dhamana kuahirisha kufikiri kwa nafsi kwasababu ya kujipendekeza ama kulitumikia kundi fulani kwa masilahi binafsi na uoga kwa viongozi wao bila utii, (unafiki), a.k.a kujizima data, ama kuahirisha kufikiri kizalendoUkiwa mtafutaji hawezi kushindwa kutunza na kuendeleza, lakini ukiwa mpewaji hawezi kutunza wala kundeleza. Namaanisha CCM imepewa Nchi, ikamilikishwa kila kitty including jeshi. Maendeleo ya kijamii kiujumla itaendelea kuwa ndoto, wengine wengi hawahusishwi kisa vyama vingine