Pre GE2025 CCM inatumia pesa nyingi kwa wasanii na michezo kuficha ukali wa CHADEMA kwenye media na mitandao kuelekea 2025

Pre GE2025 CCM inatumia pesa nyingi kwa wasanii na michezo kuficha ukali wa CHADEMA kwenye media na mitandao kuelekea 2025

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)

chizcom

JF-Expert Member
Joined
Jul 31, 2016
Posts
8,680
Reaction score
18,035
Bado tuna safari ndefu sana ambayo kwa sasa ccm inaonyesha kutoa pesa nyingi kwenye media na mitandao watu wasijenge uwezo wa kuhoji kwa kipindi hiki cha kuelekea uchaguzi 2025.

Kuna party nyingi zinazofanywa na wasanii au time nyingi kwenye media wasanii au umichezo kupewa nafasi sana.

Hivi mfano juzi niliposhtuka kuona wasanii wakiwekewa airtime ya harusi kwenye media zilizopo ni nani yupo nyuma kulipa pesa zote.

Kwanini kumekuwa na kijana godlove kupewa kipumbele ambacho mpaka media zinampa mda dana.

Pesa zetu zinachezewa sana 2025.
 
ni kwa kodi zetu au posho za waheshimiwa? lakini posho wanasema ni haki yao na sie hatujapinga hilo, sasa tunalilia nini. Subiri kupiga kura uchague mitano tena upige na makofi.
 
Wasanii wa maigizo, ucheshi, ucheshi wima, uimbaji ( gospel & bongo fleva &hip hop nk) wanapiga sana pesa 😪😪
 
Bado tuna safari ndefu sana ambayo kwa sasa ccm inaonyesha kutoa pesa nyingi kwenye media na mitandao watu wasijenge uwezo wa kuhoji kwa kipindi hiki cha kuelekea uchaguzi 2025.

Kuna party nyingi zinazofanywa na wasanii au time nyingi kwenye media wasanii au umichezo kupewa nafasi sana.
Hivi mfano juzi niliposhtuka kuona wasanii wakiwekewa airtime ya harusi kwenye media zilizopo ni nani yupo nyuma kulipa pesa zote.

Kwa nini kumekuwa na kijana godlove kupewa kipumbele ambacho mpaka media zinampa mda dana.

Pesa zetu zinachezewa sana 2025.
Mitano tena 😂😂😂
 
Back
Top Bottom