kifupi kirefu
JF-Expert Member
- Oct 29, 2018
- 539
- 3,507
Ukiona chama cha siasa kimeishiwa wajenga hoja kwa muda mfupi lazima ujiulize sababu. CCM imejimaliza kwa sababu zifuatazo;
1. Imejiwekea utaratibu kwamba, Mwenye kusema Ni yule tu mwenye cheo ndani ya chama kwa maana mwenyekiti, makamu, katibu mkuu na mwenezi, mawaziri na manaibu,. Waliobaki awaruhusiwi kusema
2. Wana CCM waliojiona Wana nguvu wanapotumbuliwa au kosa nafasi wanabaki kuwa watazamaji, mfano Bashiru, Polepole, Nape, Muongo, Januaro, Kigwangala nk Hawa uwez wasikia wakijibu hoja maaana wakisema wanaonekana wanaingilia kazi au wanajimwambafai.
3. Polisi imeruhusiwa kuwa wakala wa chama si kwakushughulika na wapinzani tu Bali hata wanaccm na amri inaweza kutoka hata kwa mjumbe wa shina ikanakshiwa na kauli ya maelekezo kutoka juu na ukakamatwa.
4. CCM imeruhusu kukosa wafuasi, kundi kubwa Sasa limezaliwa miaka ya tisini. Limekuwa na vuguvugu ya mabadiliko na limekosa basic needs kutoaka serikalini na hivyo kuvalishwa nafsi ya upinzani. Hakuna mbinu yakushawishi kundi hili.
5. Nchi imegeuka Mali ya familia chache, mfano JK anakula pension, mtoto Mbunge, mke Mbunge je wao tu ndio walioumbwa kuwa wabunge? Na wote wamepita kwa nguvu ya dola. Angalia familia za wastaafu jeshini, Kwenye chama na seniour officers serikalini utabaiini kundi la watawqliwa Ni kubwa na linaumia.
Kufuatili mfumo huu na kukua kwa utandawazi tumewafanya Wana ccm baadhi kuunga mkono harakati za upinzani wakitaka ukombozi. Na ndo maaana kwa zaidi ya mwezi Sasa nchi imetamalaki Ukamataji. Unadani watu watazalisha lini, hao wanaokamatwa ndugu zao ni Askari, walimu, Wat mishi wa sekta mbalimbali, je wanafuraia ndugu zao kuteswa? Hatuwezi kuwa tunasambaza hujuma maofisini na maeneo mbalimbali kwa sababu tu CCM imekosa mvuto? Je viongozi wanaona hii athari au wanadhani wanaokamatwa ni Chadema pekee?
1. Imejiwekea utaratibu kwamba, Mwenye kusema Ni yule tu mwenye cheo ndani ya chama kwa maana mwenyekiti, makamu, katibu mkuu na mwenezi, mawaziri na manaibu,. Waliobaki awaruhusiwi kusema
2. Wana CCM waliojiona Wana nguvu wanapotumbuliwa au kosa nafasi wanabaki kuwa watazamaji, mfano Bashiru, Polepole, Nape, Muongo, Januaro, Kigwangala nk Hawa uwez wasikia wakijibu hoja maaana wakisema wanaonekana wanaingilia kazi au wanajimwambafai.
3. Polisi imeruhusiwa kuwa wakala wa chama si kwakushughulika na wapinzani tu Bali hata wanaccm na amri inaweza kutoka hata kwa mjumbe wa shina ikanakshiwa na kauli ya maelekezo kutoka juu na ukakamatwa.
4. CCM imeruhusu kukosa wafuasi, kundi kubwa Sasa limezaliwa miaka ya tisini. Limekuwa na vuguvugu ya mabadiliko na limekosa basic needs kutoaka serikalini na hivyo kuvalishwa nafsi ya upinzani. Hakuna mbinu yakushawishi kundi hili.
5. Nchi imegeuka Mali ya familia chache, mfano JK anakula pension, mtoto Mbunge, mke Mbunge je wao tu ndio walioumbwa kuwa wabunge? Na wote wamepita kwa nguvu ya dola. Angalia familia za wastaafu jeshini, Kwenye chama na seniour officers serikalini utabaiini kundi la watawqliwa Ni kubwa na linaumia.
Kufuatili mfumo huu na kukua kwa utandawazi tumewafanya Wana ccm baadhi kuunga mkono harakati za upinzani wakitaka ukombozi. Na ndo maaana kwa zaidi ya mwezi Sasa nchi imetamalaki Ukamataji. Unadani watu watazalisha lini, hao wanaokamatwa ndugu zao ni Askari, walimu, Wat mishi wa sekta mbalimbali, je wanafuraia ndugu zao kuteswa? Hatuwezi kuwa tunasambaza hujuma maofisini na maeneo mbalimbali kwa sababu tu CCM imekosa mvuto? Je viongozi wanaona hii athari au wanadhani wanaokamatwa ni Chadema pekee?