CCM inauawa na usajili wa Hayati Dkt. Magufuli uliofedhesha wana CCM

Yaani MÀTAGA yanavalishwa tisheti za Chadema ,zimeandikwa KATIBA MPYA huku yalisema hayataki Katiba mpya!

Sijui yalivalishwa bila kusoma mwandishi kifuani au hayajui kusoma?
Ebu nione jah
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…