Mpaka Kieleweke
JF-Expert Member
- Feb 27, 2007
- 4,132
- 1,577
Hebu soma e -mail hii iliyokwenda kwa mweka hazina wa CCM Taifa.
From: Gaudencia Ngetti <gaudencia.ngetti@yahoo.com>
To: <amosmakalla@yahoo.com>
Habari za muda huu ndugu yangu.
Ninachotaka kuzungumza na wewe ni kwamba, ule mfululizo wa makala yangu ya MHIMILI WA SHETANI kweli imeleta mtikisiko mkubwa ndani ya Chadema na uhusiano wao na Mengi ambao ninauona kama ni wa kishetani na isiyoitakia mema nchi yetu na mustakabali wa Taifa letu.
Imefikia hatua Mengi na washirika wenzie wameenda mbali kiasi cha kuiomba Mahakama nisiendelee kuandika makala hayo kwani inalenga kukidhoofisha Chadema kabla ya Uchaguzi Mkuu wa hapo mwakani.
Kutokana na ushauri wa wasomaji wengi hasa wanazuoni wa UDSM sehemu ya mlimani wamenishauri nifanya mwendelezo wa makala hayo kuwa KITABU ili ujumbe niliokusudia uweze kuwafikia watu wengi nchini.
Ni dhahiri kupitia kitabu hiki Chadema itaweza kudhoofika mno kwani kitawafunua utupu wao na watu kujua rangi yao halisi. Na ninadhani huu utakuwa ni mchango wangu kwa chama tawala na kwa nchi yangu.
Ninachoomba kwako ni kasma ya kuniwezesha kuchapa kitabu hicho na kukisambaza. Kwamba nipate wadhamini wa kuniwezesha kukichapa kitabu hicho na kukisambaza ili kisambae nchima watu wakifahamu Chadema kwa rangi yake halisi.
Gharama zote za uchapaji na usambazaji ni jumla ya shilingi 21,000,000 (Milioni ishirini na moja tu). Unaweza kunisaidia aidha kama chama, kama Makala au kwa kuniunganisha na watu unaodhani wanaweza kunikasimisha ili shabaha yangu ya kuona Chadema inadhoofu kabla uchaguzi mkuu mwakani INATIMIA.
Ni matumaini yangu kuwa utalichukulia suala hili VERY SERIOUS.
Ni mimi Bollen Ngetti
From: Gaudencia Ngetti <gaudencia.ngetti@yahoo.com>
To: <amosmakalla@yahoo.com>
Habari za muda huu ndugu yangu.
Ninachotaka kuzungumza na wewe ni kwamba, ule mfululizo wa makala yangu ya MHIMILI WA SHETANI kweli imeleta mtikisiko mkubwa ndani ya Chadema na uhusiano wao na Mengi ambao ninauona kama ni wa kishetani na isiyoitakia mema nchi yetu na mustakabali wa Taifa letu.
Imefikia hatua Mengi na washirika wenzie wameenda mbali kiasi cha kuiomba Mahakama nisiendelee kuandika makala hayo kwani inalenga kukidhoofisha Chadema kabla ya Uchaguzi Mkuu wa hapo mwakani.
Kutokana na ushauri wa wasomaji wengi hasa wanazuoni wa UDSM sehemu ya mlimani wamenishauri nifanya mwendelezo wa makala hayo kuwa KITABU ili ujumbe niliokusudia uweze kuwafikia watu wengi nchini.
Ni dhahiri kupitia kitabu hiki Chadema itaweza kudhoofika mno kwani kitawafunua utupu wao na watu kujua rangi yao halisi. Na ninadhani huu utakuwa ni mchango wangu kwa chama tawala na kwa nchi yangu.
Ninachoomba kwako ni kasma ya kuniwezesha kuchapa kitabu hicho na kukisambaza. Kwamba nipate wadhamini wa kuniwezesha kukichapa kitabu hicho na kukisambaza ili kisambae nchima watu wakifahamu Chadema kwa rangi yake halisi.
Gharama zote za uchapaji na usambazaji ni jumla ya shilingi 21,000,000 (Milioni ishirini na moja tu). Unaweza kunisaidia aidha kama chama, kama Makala au kwa kuniunganisha na watu unaodhani wanaweza kunikasimisha ili shabaha yangu ya kuona Chadema inadhoofu kabla uchaguzi mkuu mwakani INATIMIA.
Ni matumaini yangu kuwa utalichukulia suala hili VERY SERIOUS.
Ni mimi Bollen Ngetti