CCM inawaweka pembeni baadhi ya watu kisayansi sana

CCM inawaweka pembeni baadhi ya watu kisayansi sana

britanicca

JF-Expert Member
Joined
May 20, 2015
Posts
16,295
Reaction score
33,994
Kuna jambo watu hawajaligundua, ni kwamba CCM inawaweka pembeni baadhi ya watu kisayansi sana

Njia ziko mbili na zimefanya kazi, ya Tatu ya Mheshimiwa wa soko lake Dodoma ndo iliniacha hoi,

1. Ana uchu sana na Urais huyu kijana mpe majukumu yanayogusa moja kwa moja Wananchi watamuondoa wenyewe kwa mahesabu yao wenyewe bila system kumgusa,

2. Mpe kazi ya Mbali kama akina Nchimbi halafu 2026 hapewi kazi tena!!

3. Mheshimiwa Mwenyewe Jina la soko pale Dom hakuandika barua ile bali sayansii ilochorwa ni kwamba waambie wenyeviti wa mikoani waanze matamko alafu wakisha.... tunadraft kitu na ikafanya kazi naye alikuwa anaishangaa sana.

Chama kinamaliza figisu bila KELELE

Nani kocha wa MAMA SAMIA? namnukuu '' kuna mtu senior ndani ya Chama alisema haya wapinzani hawana shida na hawatasumbua wao kelele zao zitaishia mitandanoni ila hasa wa ndani kaa nao mkao wa kula''

BRITANICCA
 
Makamba huyo anawekwa pembeni bila kujua pia kuna taarifa kwamba walitaka MASELE NDO AWE SPIKA KWA KUCHORA MCHORO TULIA AENDE KWENYE KAMATI YA KUHOJI WANAOGOMBEA AKIWA MGOMBEA ILI APOTEZE SIFA ILA KAMWELE AKAMSANUA
 
Kuna jambo watu hawajaligundua, ni kwamba CCM inawaweka pembeni baadhi ya watu kisayansi sana

Njia zika mbili na zimefanya kazi, ya Tatu ya Mheshimiwa wa soko lake Dodoma ndo iliniacha hoi,

1. Ana uchu sana na Uraisi huyu kijana mpe majukumu yanayogusa moja kwa moja Wananchi watamuondoa wenyewe kwa mahesabu yao wenyewe bila system kumgusa,

2. Mpe kazi ya Mbali kama akina Nchimbi alafu 2026 hapewi kazi tena!!

3, Mheshimiwa Mwenyewe Jina la soko pale Dom hakuandika barua ile bali sayansii ilochorwa ni kwamba waambie wenyeviti wa mikoani waanze matamko alafu wakisha.... tunadraft kitu na ikafanya kazi naye alikuwa anaishangaaa sana ...

Chama kinamaliza figisu bila KELELE

Nani kocha wa MAMA SAMIA? namnukuu '' kuna mtu senior ndani ya Chama alisema haya wapinzani hawana shida na hawatasumbua wao kelele zao zitaishia mitandanoni ila hasa wa ndani kaa nao mkao wa kula''

BRITANICCA
Chama chakavu hakina jipya, wanagawana asali tu.
 
Kuna jambo watu hawajaligundua, ni kwamba CCM inawaweka pembeni baadhi ya watu kisayansi sana

Njia zika mbili na zimefanya kazi, ya Tatu ya Mheshimiwa wa soko lake Dodoma ndo iliniacha hoi,

1. Ana uchu sana na Uraisi huyu kijana mpe majukumu yanayogusa moja kwa moja Wananchi watamuondoa wenyewe kwa mahesabu yao wenyewe bila system kumgusa,

2. Mpe kazi ya Mbali kama akina Nchimbi alafu 2026 hapewi kazi tena!!

3, Mheshimiwa Mwenyewe Jina la soko pale Dom hakuandika barua ile bali sayansii ilochorwa ni kwamba waambie wenyeviti wa mikoani waanze matamko alafu wakisha.... tunadraft kitu na ikafanya kazi naye alikuwa anaishangaaa sana ...

Chama kinamaliza figisu bila KELELE

Nani kocha wa MAMA SAMIA? namnukuu '' kuna mtu senior ndani ya Chama alisema haya wapinzani hawana shida na hawatasumbua wao kelele zao zitaishia mitandanoni ila hasa wa ndani kaa nao mkao wa kula''

BRITANICCA
Sawa Jasusi. Tumekupata
 
Speed ya katiba mpya

Othman Masoud kwenye media kuanza promo za serikali tatu.

Kuna mtu ana uhakika na 2025 bora kuyaweka sawa ya visiwani muda huu.

Katiba sio kwa sababu ya kutatua kero za bara tume, madaraka ya raisi na hadithi zingine ambazo azitekelezeki.

Mchakato wa katiba mpya ni kujaribu kumaliza kiporo cha Zanzibar before 2025 just in case.

Bye Bi Tozo, tuna kupenda; ila tunapenda maendeleo zaidi.
 
Speed ya katiba mpya

Othman Masoud kwenye media kuanza promo za serikali tatu.

Kuna mtu ana uhakika na 2025 bora kuyaweka sawa ya visiwani muda huu.

Katiba sio kwa sababu ya kutatua kero za bara tume, madaraka ya raisi na hadithi zingine ambazo azitekelezeki.

Mchakato wa katiba mpya ni kujaribu kumaliza kiporo cha Zanzibar before 2025 just in case.

Bye Bi Tozo, tuna kupenda; ila tunapenda maendeleo zaidi.
SURE
 
Kuna jambo watu hawajaligundua, ni kwamba CCM inawaweka pembeni baadhi ya watu kisayansi sana

Njia zika mbili na zimefanya kazi, ya Tatu ya Mheshimiwa wa soko lake Dodoma ndo iliniacha hoi,

1. Ana uchu sana na Uraisi huyu kijana mpe majukumu yanayogusa moja kwa moja Wananchi watamuondoa wenyewe kwa mahesabu yao wenyewe bila system kumgusa,

2. Mpe kazi ya Mbali kama akina Nchimbi alafu 2026 hapewi kazi tena!!

3, Mheshimiwa Mwenyewe Jina la soko pale Dom hakuandika barua ile bali sayansii ilochorwa ni kwamba waambie wenyeviti wa mikoani waanze matamko alafu wakisha.... tunadraft kitu na ikafanya kazi naye alikuwa anaishangaaa sana ...

Chama kinamaliza figisu bila KELELE

Nani kocha wa MAMA SAMIA? namnukuu '' kuna mtu senior ndani ya Chama alisema haya wapinzani hawana shida na hawatasumbua wao kelele zao zitaishia mitandanoni ila hasa wa ndani kaa nao mkao wa kula''

BRITANICCA
Umeharisha nini hapa wee mataga?
 
Kuna jambo watu hawajaligundua, ni kwamba CCM inawaweka pembeni baadhi ya watu kisayansi sana

Njia zika mbili na zimefanya kazi, ya Tatu ya Mheshimiwa wa soko lake Dodoma ndo iliniacha hoi,

1. Ana uchu sana na Uraisi huyu kijana mpe majukumu yanayogusa moja kwa moja Wananchi watamuondoa wenyewe kwa mahesabu yao wenyewe bila system kumgusa,

2. Mpe kazi ya Mbali kama akina Nchimbi alafu 2026 hapewi kazi tena!!

3, Mheshimiwa Mwenyewe Jina la soko pale Dom hakuandika barua ile bali sayansii ilochorwa ni kwamba waambie wenyeviti wa mikoani waanze matamko alafu wakisha.... tunadraft kitu na ikafanya kazi naye alikuwa anaishangaaa sana ...

Chama kinamaliza figisu bila KELELE

Nani kocha wa MAMA SAMIA? namnukuu '' kuna mtu senior ndani ya Chama alisema haya wapinzani hawana shida na hawatasumbua wao kelele zao zitaishia mitandanoni ila hasa wa ndani kaa nao mkao wa kula''

BRITANICCA
Dogo una personality flan hivi ya ajabu jamvini. Unapoteaga halaf ghafla unaibuka. Yani ukiibukaga ni mfululizo wa thread kama wiki mbili hivi halafu unapotea tena.
 
Oy
Dogo una personality flan hivi ya ajabu jamvini. Unapoteaga halaf ghafla unaibuka. Yani ukiibukaga ni mfululizo wa thread kama wiki mbili hivi halafu unapotea tena.
Oya we semenya wa udindivu niaje?
 
Dogo una personality flan hivi ya ajabu jamvini. Unapoteaga halaf ghafla unaibuka. Yani ukiibukaga ni mfululizo wa thread kama wiki mbili hivi halafu unapotea tena.
Dogo majukumu! Wanasemaje Copenhagen??
 
eshimiwa Mwenyewe Jina la soko pale Dom hakuandika barua ile bali sayansii ilochorwa ni kwamba waambie wenyeviti wa mikoani waanze matamko alafu wakisha.... tunadraft kitu na ikafanya kazi naye alikuwa anaishangaaa sana ...

Chama kinamaliza figisu bila KELELE

BRITANICCA
Duh...!.
Buritanika buana!.
P
 
Back
Top Bottom