Pre GE2025 CCM inaweza isiwe tatizo kabisa

Pre GE2025 CCM inaweza isiwe tatizo kabisa

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)

Mi mi

JF-Expert Member
Joined
Jul 14, 2024
Posts
2,748
Reaction score
5,112
Kwanza kabisa mimi sio mfuasi wala mwanachama wa CCM wala chama chochote hapa Tanzania.

Binafsi kwa mtizamo wangu na kwa kutazama jamii nzima iliyo nizunguka nakiri CCM inaweza isiwe tatizo pekee hapa nchini.

Sisemi kuwa CCM ni bora hapana bali tuondoe matumaini makubwa kuwa siku CCM ikitoka tutapata mabadiliko na maendeleo makubwa.

Ukitazama majirani wote walio tuzunguka hatutofaitiana matatizo na hali zetu kabisa wote tunaelekeana pamoja ya kwamba baadhi ya majirani wamebadili vyama na vyama lakini hali bado siyo.

Ukitaka kuthibitisha pia hili jaribu kufanya kazi au kwa yoyote yule aliyewahi kufanya kazi na wazungu, wachina, wajapan hata wahindi naamini kuna vitu vya tofauti kagundua kati yetu na wao katika mambo kadhaa.

Ukitaka kuelewa zaidi soma historia ya mataifa yaliyo pachikwa jina la four asian tigers kwa nini ilikuwa rahisi watu wa ukanda ule kufanana katika mchakato wa maendeleo ?

Tuna tatizo kubwa zaidi ya CCM tofauti na tunavyo fikiri.

Zambia inanisikitisha na kuninyong'onyesha kwa yanayo endelea.

Pia soma
- Kwanini Watanzania na Tanzania ni masikini pamoja na rasilimali (resources) tulizonazo?
Twende Mbele turudi nyuma, umasikini ndio mtaji mkuu wa CCM
 
Duh! Basi hapo tusubiri mwisho wa dunia tu. Labda tutatoboa Mbinguni/Peponi.







Labda siku watu wa vyombo vya ulinzi na usalama vyuma Vikiwabana na wakiona watoto wao hawana ajira nahisi ndio watawatoa ccm
Siku wananchi wakiamka kutoka usingizini kama walivyofanya Ngorongoro mambo yataenda sawa chap
 
Kwanza kabisa mimi sio mfuasi wala mwanachama wa CCM wala chama chochote hapa Tanzania.

Binafsi kwa mtizamo wangu na kwa kutazama jamii nzima iliyo nizunguka nakiri CCM inaweza isiwe tatizo pekee hapa nchini.

Sisemi kuwa CCM bora hapana bali tuondoe matumaini makubwa kuwa siku CCM ikitoka tutapata mabadiliko na maendeleo makubwa.

Ukitazama majirani wote walio tuzunguka hatutofaitiana matatizo na hali zetu kabisa wote tunaelekeana pamoja ya kwamba baadhi ya majirani wamebadili vyama na vyama lakini hali bado siyo.

Ukitaka kuthibitisha pia hili jaribu kufanya kazi au kwa yoyote yule aliyewahi kufanya kazi na wazungu, wachina, wajapan hata wahindi naamini kuna vitu vya tofauti kagundua kati yetu na wao katika mambo kadhaa.

Ukitaka kuelewa zaidi soma historia ya mataifa yaliyo pachikwa jina la four tigers kwa nini ilikuwa rahisi watu wa ukanda kufanana katika mchakato wa maendeleo ?

Tuna tatizo kubwa zaidi ya CCM tofauti na tunavyo fikiri.

Zambia inanisikitisha na kuninyong'onyesha kwa yanayo endelea.
Jul 14, 2024.... :FeelsDance:
 
Kwani Ngorongoro waliamka? wananchi ni kila kitu
Ngorongoro hakuna lolote. Ccm wameamua tu kukausha kutokana na kuogopa jicho la wazungu na uchaguzi unakaribia ila ccm wangekaza na kuamua kutumia vyombo vya ulinzi na usalama hapo ngorongoro pasingebaki kitu, hata kipunje cha harage kisinge baki.
 
Ngorongoro hakuna lolote. Ccm wameamua tu kukausha kutokana na kuogopa jicho la wazungu na uchaguzi unakaribia ila ccm wangekaza na kuamua kutumia vyombo vya ulinzi na usalama hapo ngorongoro pasingebaki kitu, hata kipunje cha harage kisinge baki.
Bado una mawazo ya kizamani sn, subiri basi hivyo vyombo viamke
 
Back
Top Bottom