Li ngunda ngali
JF-Expert Member
- Jun 22, 2023
- 707
- 2,572
Aisee ni kweli waanze kujiandaa kisaikolojiaMatarajio ya CCM kushinda viti vingi vya wagombea wao katika Uchaguzi ujao wa Serikali Mitaa huenda yasitimie kwa sababu ya figisu za wao kwa wao kwenye uteuzi wao wa ndani hali itakayopelekea visasi ndaniyo.
CCM itarajie kisichotarajika kwenye Uchaguzi huo.
Wewe tu utashinda kwa sababu umejitambua mapema.Matarajio ya CCM kushinda viti vingi vya wagombea wao katika Uchaguzi ujao wa Serikali Mitaa huenda yasitimie kwa sababu ya figisu za wao kwa wao kwenye uteuzi wao wa ndani hali itakayopelekea visasi ndaniyo.
CCM itarajie kisichotarajika kwenye Uchaguzi huo.
Kua na imani potofu na kuamini katika ushirikina ni umaskini mbaya wa kiwango cha juu sana sana aise dah 🤣Matarajio ya CCM kushinda viti vingi vya wagombea wao katika Uchaguzi ujao wa Serikali Mitaa huenda yasitimie kwa sababu ya figisu za wao kwa wao kwenye uteuzi wao wa ndani hali itakayopelekea visasi ndaniyo.
CCM itarajie kisichotarajika kwenye Uchaguzi huo.
Itaangukia kisogokua na imani potofu na kuamini katika ushirikina ni umaskini mbaya wa kiwango cha juu sana sana aise dah 🤣
ati CCM itafanyaje?🤣
Matarajio ya CCM kushinda ni makubwa kwa sababu wapiga kura wanatambua rekodi yake ya maendeleo na mipango inayolenga kukuza ustawi wa jamii.Matarajio ya CCM kushinda viti vingi vya wagombea wao katika Uchaguzi ujao wa Serikali Mitaa huenda yasitimie kwa sababu ya figisu za wao kwa wao kwenye uteuzi wao wa ndani hali itakayopelekea visasi ndaniyo.
CCM itarajie kisichotarajika kwenye Uchaguzi huo.
Swala la CCM kushinda uchaguzi lipo kikatiba labda kama unaotaMatarajio ya CCM kushinda viti vingi vya wagombea wao katika Uchaguzi ujao wa Serikali Mitaa huenda yasitimie kwa sababu ya figisu za wao kwa wao kwenye uteuzi wao wa ndani hali itakayopelekea visasi ndaniyo.
CCM itarajie kisichotarajika kwenye Uchaguzi huo.
ama kweli jambo usilolijua ni kama usiku wa kiza ndiyo hiyo sasa 🐒Itaangukia kisogo
Nyamazeni bhana! Mnawaamsha wa Nini!?Ni kweli, leo nilikuwa mahali nimesikia wana nzengo wakiwa na malalamiko na wanasema wataipigia upinzani hata waweke Jiwe... wenye chama chukueni hatua kuthibiti migogoro huko