LGE2024 CCM itashinda kwa kishindo

LGE2024 CCM itashinda kwa kishindo

Uchaguzi wa Serikali za Mitaa 2024

Poppy Hatonn

JF-Expert Member
Joined
Apr 9, 2021
Posts
3,095
Reaction score
4,632
Sitaki kutoa utabiri.

Lakini nataka nitoe maoni
Naona uwezekano kwamba hali inaweza kuwa kama ilivyokuwa miaka mitano iliyopita.

Na kwamba CCM inaweza kupata ushindi mkubwa wa kufanya Rais Samia acheke mpaka augue moyo.

Pale 2020 wote tulishangazwa na matokea ya Uchaguzi. CCM walizia viti vyote, like there was a Beast we were not aware of was helping them.

Na sasa, I wonder if you have noticed,CIA na MI6 wako very active katika nchi ya jirani.
Viongozi wao wanaokwenda huko tena na tena.

Huu ni wakati wa Uchaguzi hapa na hao spy masters wanapokuwa active nchi ya jirani,hii inaweza kuathiri Uchaguzi wetu?
 
Na sasa, I wonder if you have noticed,CIA na MI6 wako very active katika nchi ya jirani.
Viongozi wao wanaokwenda huko tena na tena.
There's a new kid on the block, by the name of Trum!
Usiwe na hofu na hao waliopo huko jirani; huoni hata mpishi mkuu 'Whiteman' joto limekuwa jingi jikoni kaamua kubwaga manyanga!
 
Sitaki kutoa utabiri.

Lakini nataka nitoe maoni
Naona uwezekano kwamba hali inaweza kuwa kama ilivyokuwa miaka mitano iliyopita.

Na kwamba CCM inaweza kupata ushindi mkubwa wa kufanya Rais Samia acheke mpaka augue moyo.

Pale 2020 wote tulishangazwa na matokea ya Uchaguzi. CCM walizia viti vyote, like there was a Beast we were not aware of was helping them.

Na sasa, I wonder if you have noticed,CIA na MI6 wako very active katika nchi ya jirani.
Viongozi wao wanaokwenda huko tena na tena.

Huu ni wakati wa Uchaguzi hapa na hao spy masters wanapokuwa active nchi ya jirani,hii inaweza kuathiri Uchaguzi wetu?
"Chama Cha matapeli"CCM
 
Sitaki kutoa utabiri.

Lakini nataka nitoe maoni
Naona uwezekano kwamba hali inaweza kuwa kama ilivyokuwa miaka mitano iliyopita.
huu ndio ukweli wa mambo,sio uwezekano but its for sure!
Na kwamba CCM inaweza kupata ushindi mkubwa wa kufanya Rais Samia acheke mpaka augue moyo.
sio inaweza,ni itapata ushindi wa kishindo kwasababu kwa Tanzania chama kwa maana ya chama halisi cha siasa,ni chama kimoja tuu, the one and only
Pale 2020 wote tulishangazwa na matokea ya Uchaguzi. CCM walizoa viti vyote, like there was a Beast we were not aware of was helping them.
true
Huu ni wakati wa Uchaguzi hapa na hao spy masters wanapokuwa active nchi ya jirani,
kiukweli uwezo wa mtu wa kawaida kuwajua hao jamaa,sii rahisi unless na wewe ni mmoja wao。
p
 
Spy masters wapo bize sana, Kuna mmoja nilimwona jirani upande wa kaskazini akiwa kazini had Sasa natafakari, sikuwahi kujua....kwa hali hii uchaguz LAZMA utaathirika tu Zaid ya wakati ule...MAANA tayari kazi imeisha. Yaani ishaisha
umejuaje?
p

no hawawezi。
p
 
Sasa mechi unaiandaa mwenyewe,unaipanga mwenyewe,unaisimamia mwenyewe
Kwanini usishinde kwa kushindo

Ova
 
Sitaki kutoa utabiri.

Lakini nataka nitoe maoni
Naona uwezekano kwamba hali inaweza kuwa kama ilivyokuwa miaka mitano iliyopita.

Na kwamba CCM inaweza kupata ushindi mkubwa wa kufanya Rais Samia acheke mpaka augue moyo.

Pale 2020 wote tulishangazwa na matokea ya Uchaguzi. CCM walizia viti vyote, like there was a Beast we were not aware of was helping them.

Na sasa, I wonder if you have noticed,CIA na MI6 wako very active katika nchi ya jirani.
Viongozi wao wanaokwenda huko tena na tena.

Huu ni wakati wa Uchaguzi hapa na hao spy masters wanapokuwa active nchi ya jirani,hii inaweza kuathiri Uchaguzi wetu?
CIA na MI6 si vyombo vya hovyo ama vya ndio mzee , wako busy na mambo ya maana. Mna lipi kubwa kwamba litawafanya wahamishie antention kwenu?
 
toa neno kishindo weka figisu ili ueleweke vizuri
 
CCM haiwezi kushinda kwa kishindo, labda kutangazwa kwa kishindo. Huoni inavyofanya uovu kwa kishindo?

Halafu CCM ikishatangazwa kwa kishindo, ikishapora kwa kishindo, ikaendelea na ushetani wake kwa kishindo, wewe unanufaika na nini?
 
huu ndio ukweli wa mambo,sio uwezekano but its for sure!

sio inaweza,ni itapata ushindi wa kishindo kwasababu kwa Tanzania chama kwa maana ya chama halisi cha siasa,ni chama kimoja tuu, the one and only

true

kiukweli uwezo wa mtu wa kawaida kuwajua hao jamaa,sii rahisi unless na wewe ni mmoja wao。
p
 

Attachments

  • 5811771-84b12f6d5ff81d807821a183416ac2ed.mp4
    648.4 KB
Back
Top Bottom