Poppy Hatonn
JF-Expert Member
- Apr 9, 2021
- 3,095
- 4,632
There's a new kid on the block, by the name of Trum!Na sasa, I wonder if you have noticed,CIA na MI6 wako very active katika nchi ya jirani.
Viongozi wao wanaokwenda huko tena na tena.
"Chama Cha matapeli"CCMSitaki kutoa utabiri.
Lakini nataka nitoe maoni
Naona uwezekano kwamba hali inaweza kuwa kama ilivyokuwa miaka mitano iliyopita.
Na kwamba CCM inaweza kupata ushindi mkubwa wa kufanya Rais Samia acheke mpaka augue moyo.
Pale 2020 wote tulishangazwa na matokea ya Uchaguzi. CCM walizia viti vyote, like there was a Beast we were not aware of was helping them.
Na sasa, I wonder if you have noticed,CIA na MI6 wako very active katika nchi ya jirani.
Viongozi wao wanaokwenda huko tena na tena.
Huu ni wakati wa Uchaguzi hapa na hao spy masters wanapokuwa active nchi ya jirani,hii inaweza kuathiri Uchaguzi wetu?
huu ndio ukweli wa mambo,sio uwezekano but its for sure!Sitaki kutoa utabiri.
Lakini nataka nitoe maoni
Naona uwezekano kwamba hali inaweza kuwa kama ilivyokuwa miaka mitano iliyopita.
sio inaweza,ni itapata ushindi wa kishindo kwasababu kwa Tanzania chama kwa maana ya chama halisi cha siasa,ni chama kimoja tuu, the one and onlyNa kwamba CCM inaweza kupata ushindi mkubwa wa kufanya Rais Samia acheke mpaka augue moyo.
truePale 2020 wote tulishangazwa na matokea ya Uchaguzi. CCM walizoa viti vyote, like there was a Beast we were not aware of was helping them.
kiukweli uwezo wa mtu wa kawaida kuwajua hao jamaa,sii rahisi unless na wewe ni mmoja wao。Huu ni wakati wa Uchaguzi hapa na hao spy masters wanapokuwa active nchi ya jirani,
umejuaje?Sitaki kutoa utabiri.
Lakini nataka nitoe maoni
Na sasa, I wonder if you have noticed,CIA na MI6 wako very active katika nchi ya jirani.
no hawawezi。Huu ni wakati wa Uchaguzi hapa na hao spy masters wanapokuwa active nchi ya jirani,hii inaweza kuathiri Uchaguzi wetu?
umejuaje?
p
no hawawezi。
p
CIA na MI6 si vyombo vya hovyo ama vya ndio mzee , wako busy na mambo ya maana. Mna lipi kubwa kwamba litawafanya wahamishie antention kwenu?Sitaki kutoa utabiri.
Lakini nataka nitoe maoni
Naona uwezekano kwamba hali inaweza kuwa kama ilivyokuwa miaka mitano iliyopita.
Na kwamba CCM inaweza kupata ushindi mkubwa wa kufanya Rais Samia acheke mpaka augue moyo.
Pale 2020 wote tulishangazwa na matokea ya Uchaguzi. CCM walizia viti vyote, like there was a Beast we were not aware of was helping them.
Na sasa, I wonder if you have noticed,CIA na MI6 wako very active katika nchi ya jirani.
Viongozi wao wanaokwenda huko tena na tena.
Huu ni wakati wa Uchaguzi hapa na hao spy masters wanapokuwa active nchi ya jirani,hii inaweza kuathiri Uchaguzi wetu?
huu ndio ukweli wa mambo,sio uwezekano but its for sure!
sio inaweza,ni itapata ushindi wa kishindo kwasababu kwa Tanzania chama kwa maana ya chama halisi cha siasa,ni chama kimoja tuu, the one and only
true
kiukweli uwezo wa mtu wa kawaida kuwajua hao jamaa,sii rahisi unless na wewe ni mmoja wao。
p