CCM itozwe faini kwa kuharibu uwanja kama Simba SC

CCM itozwe faini kwa kuharibu uwanja kama Simba SC

Quinine

JF-Expert Member
Joined
Jul 26, 2010
Posts
22,227
Reaction score
49,628
Uongozi wa uwanja wa Taifa wa Mkapa uliitoza faini klabu ya Simba baada ya mashabiki wake kung’oa viti vya uwanja huo, jana mashabiki na wanachama wa CCM wamefanya uharibifu mkubwa mbele ya mkiti wao rais Magufuli ambaye pia ni mgombea urais kupitia chama hicho.

Tunategemea tamko la Uongozi wa uwanja na TFF ukizingatia huo sio uwanja wa CCM na umegharimu kodi za watanzania. Tunahitaji tume ya uchunguzi iangalie ni uharibifu kiasi gani ili Chama cha Mapinduzi kilipe fidia.
724F5DFE-B1EF-4A2A-BAB8-D3396B98B055.jpeg
0F374014-DE4F-42BE-B78A-90E740FBCEC1.jpeg
 
Back
Top Bottom