CCM jibuni hoja kwa hoja, kukimbilia kwenye vyombo vya dola mnaonesha uoga,udhaifu na kuto kujiamini kama chama

CCM jibuni hoja kwa hoja, kukimbilia kwenye vyombo vya dola mnaonesha uoga,udhaifu na kuto kujiamini kama chama

kichongeochuma

JF-Expert Member
Joined
Jan 21, 2024
Posts
1,669
Reaction score
2,864
Naona CCM mnakimbizia ajenda kwenye vyombo vya dola , hebu acheni hofu , mnakidhalilisha chama , kwamba chama hakina watu wa kujibu hoja ila ni kwa mitutu ya bunduki?

Kwa ukubwa wa chama chenu haipendezi kutegemea dola kuwajibia hoja kwa shuruti ,msikiaibishe chama jibuni hoja kwa ufasaha maana hoja zipo na hazijajibiwa na chama
 
Watolee wapi hoja?
 

Attachments

  • 20250213_161701.jpg
    20250213_161701.jpg
    89.5 KB · Views: 1
  • 20250212_114842.jpg
    20250212_114842.jpg
    49.4 KB · Views: 2
Watakimbizia hoja kwenye vyombo vya dola hadi lini?na nina amini vyombo vya dola vimechoka kutumika ila ndio hivyo vitafanyaje kulinda ugali
Na round hii wenye akili wote wanataka kukaa pembeni wanawaachia machawa na waroho wa madaraka kupambana na hoja🤣😂🤣
 
Naona CCM mnakimbizia ajenda kwenye vyombo vya dola , hebu acheni hofu , mnakidhalilisha chama , kwamba chama hakina watu wa kujibu hoja ila ni kwa mitutu ya bunduki?

Kwa ukubwa wa chama chenu haipendezi kutegemea dola kuwajibia hoja kwa shuruti ,msikiaibishe chama jibuni hoja kwa ufasaha maana hoja zipo na hazijajibiwa na chama
Wamebaki popo CCM.
 
CCM ile ni dola, na ndiyo maana ndani ya CCM ukinyolewa unainamisha kichwa kama kondoo - mfano yaliyomkuta Spika mbabe akakutana na wababe wenzake - kwishaaa!!
 
CCM ile ni dola, na ndiyo maana ndani ya CCM ukinyolewa unainamisha kichwa kama kondoo - mfano yaliyomkuta Spika mbabe akakutana na wababe wenzake - kwishaaa!!
Mwenyekiti wa chama kuwa rais ndipo hapo panapo leta mtihani mzito maana vita vya kichama vinashughulikiwa kiserikali
 
Back
Top Bottom