Malafyale
Platinum Member
- Aug 11, 2008
- 13,833
- 11,173
Chanzo cha Habari hii ni Gazeti la Tanzania Daima;13 August 2010
walidai inaonyesha wazi kuwa chama kimekuwa na tabia ya kumbeba Chiligati kwa kuwa anayo nafasi kubwa katika chama hicho jambo ambalo linaondoa demokrasi ya kweli katika siasa za Jimbo la Manyoni Mashariki.
Wakiendelea kutoa maelezo juu ya msimamo wao walidai kuwa kama mgombea huyo ataletwa katika jimbo hilo kura zao watazielekeza katika chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA).
Walisema kwa sasa siasa hazilengi kunufaisha chama bali kinachotakiwa ni kiongozi gani ambaye amesimama kwa niaba ya wananchi kwa malengo ya kuwaletea maendeleo wananchi na si porojo.
Kwa upande wake katibu wa CCM, Wilaya ya manyoni Mathias Shindagashi alipoulizwa juu ya suala, suala hilo alisema kuwa wale wasiotaka kukipigia kura chama hicho waache wala hawabembelezwi
walidai inaonyesha wazi kuwa chama kimekuwa na tabia ya kumbeba Chiligati kwa kuwa anayo nafasi kubwa katika chama hicho jambo ambalo linaondoa demokrasi ya kweli katika siasa za Jimbo la Manyoni Mashariki.
Wakiendelea kutoa maelezo juu ya msimamo wao walidai kuwa kama mgombea huyo ataletwa katika jimbo hilo kura zao watazielekeza katika chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA).
Walisema kwa sasa siasa hazilengi kunufaisha chama bali kinachotakiwa ni kiongozi gani ambaye amesimama kwa niaba ya wananchi kwa malengo ya kuwaletea maendeleo wananchi na si porojo.
Kwa upande wake katibu wa CCM, Wilaya ya manyoni Mathias Shindagashi alipoulizwa juu ya suala, suala hilo alisema kuwa wale wasiotaka kukipigia kura chama hicho waache wala hawabembelezwi