Pre GE2025 CCM kabla hamjawatumia bodaboda kwenye kampeni za uchaguzi mkuu 2025 tunaomba mtoe takwimu za vifo vya bodaboda

Pre GE2025 CCM kabla hamjawatumia bodaboda kwenye kampeni za uchaguzi mkuu 2025 tunaomba mtoe takwimu za vifo vya bodaboda

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)

Mwamuzi wa Tanzania

JF-Expert Member
Joined
Apr 7, 2020
Posts
15,486
Reaction score
45,256
Leo tarehe 16 Januari 2025 muda huu tuko road kuelekea makaburini kumzika dogo mmoja mtoto wa dada ambaye alikufa kwa ajali ya pikipiki almaarufu bodaboda.

Huyu kijana alikuwa bodaboda, jana kapata ajali Ubungo.

Hili tatizo la vifo vya bodaboda halionekani kubwa kwakuwa hakuna gazeti, redio au television wanatangaza vifo vyao. Ila vifo ni vingi sana

CCM huku mkijuvunia kutoa ajira kwa mamilioni ya Watanzania vijana (bodaboda) msiache kuachia mkeka wa vifo vyao.

Vifo ni vingi , sio Dar tu hata nje ya Dar es salaam vijana wanakufa
 
Yale mapikipiki ya kijani yameua kinyama kwa ajali, sijui yamebaki mangapi. Bodaboda wana njaa kali sana watakubali kutumiwa kwenye kampeni
 
Leo tarehe 16 Januari 2025 muda huu tuko road kuelekea makaburini kumzika dogo mmoja mtoto wa dada ambaye alikufa kwa ajali ya pikipiki almaarufu bodaboda.

Huyu kijana alikuwa bodaboda, jana kapata ajali Ubungo.

Hili tatizo la vifo vya bodaboda halionekani kubwa kwakuwa hakuna gazeti, redio au television wanatangaza vifo vyao. Ila vifo ni vingi sana

CCM huku mkijuvunia kutoa ajira kwa mamilioni ya Watanzania vijana (bodaboda) msiache kuachia mkeka wa vifo vyao.

Vifo ni vingi , sio Dar tu hata nje ya Dar es salaam vijana wanakufa
pia kuna mdogo wa rafiki yangu nae bodaboda,jana kafariki kapata ajali huko kunduchi nasikia, zinawamaliza vijana kwa ukweli
 
Leo tarehe 16 Januari 2025 muda huu tuko road kuelekea makaburini kumzika dogo mmoja mtoto wa dada ambaye alikufa kwa ajali ya pikipiki almaarufu bodaboda.

Huyu kijana alikuwa bodaboda, jana kapata ajali Ubungo.

Hili tatizo la vifo vya bodaboda halionekani kubwa kwakuwa hakuna gazeti, redio au television wanatangaza vifo vyao. Ila vifo ni vingi sana

CCM huku mkijuvunia kutoa ajira kwa mamilioni ya Watanzania vijana (bodaboda) msiache kuachia mkeka wa vifo vyao.

Vifo ni vingi , sio Dar tu hata nje ya Dar es salaam vijana wanakufa
Wawakatie bima ya maisha kabla.
 
Ni janga kwa kweli. Yaani nimeshihudia ajali kadhaa za boda mtu ana kata moto hapohapo.
 
Back
Top Bottom