CCM kama kweli tunataka 'Kumuenzi' vyema Hayati Mzee Mkapa na hata Baba wa Taifa tukae mbali na 'Unafiki' huu wa Kidemokrasia

CCM kama kweli tunataka 'Kumuenzi' vyema Hayati Mzee Mkapa na hata Baba wa Taifa tukae mbali na 'Unafiki' huu wa Kidemokrasia

GENTAMYCINE

JF-Expert Member
Joined
Jul 13, 2013
Posts
60,660
Reaction score
121,325
Taasisi ya Tulia Trust imetoa mkopo wa bodaboda 21 zenye thamani ya zaidi ya Sh. milioni 50 kwa vikundi mbalimbali vya waendesha bodaboda katika Halmashauri ya Jiji la Mbeya.

Nipashe.

-----------
Ni Mpumbavu (Popoma) tu pekee ndiyo anaweza asigundue kuwa hii tayari ni 'Pre Campaign' ambayo huyu Mama anaifanya katika Jimbo ambalo analitaka. Sina shaka na Uwezo wake ila GENTAMYCINE napenda Haki na Usawa kwa Watu wote hata kama sioni haya (aibu) Kujinasibu kabisa hapa kuwa nakipenda Chama cha Mapinduzi (CCM) na Mimi ni mwana Mapinduzi kweli kweli Kiasili.

Najua kwa huu Uzi nitachukiwa mno na wana CCM Wenzangu hapa, nitatukanwa na hadi Kudhihakiwa ila nitasimama pale pale kuwa hii si Haki na hapa hakuna Usawa wowote ule. Hata kama kweli tunataka kuwa Wabunge kwa Udi na Uvumba ila 'sometimes' basi kidogo tuwe 'tunajishtukia' na tusisahau kuwa Watanzania wa Leo huenda wakawa na Akili kushinda nyie Wagombea Ubunge.
 
Nikupe gari,nikulipe mshahara, nikupe nyumba ya kuishi halfu umtangaze...

Hata aipofanya kampeni, majibu utayapata oktoba. Kuna watakaoshinda kura na kuna watakaotangazwa washindi ilihali hawajashinda kura
 
Haki na usawa hai Jawa hi kutokea CCM, miradi yote ya chama inanufaisha vigogo kuanzia jengo la UVCCM
 
Naunga mkono hoja
IMG_20200725_062956.jpg
 
Mmeshindwa kumuenzi Nyerere, huyu mwingine anasahaulika mapema tu.
 
Taasisi ya Tulia Trust imetoa mkopo wa bodaboda 21 zenye thamani ya zaidi ya Sh. milioni 50 kwa vikundi mbalimbali vya waendesha bodaboda katika Halmashauri ya Jiji la Mbeya.

Nipashe.

-----------
Ni Mpumbavu (Popoma) tu pekee ndiyo anaweza asigundue kuwa hii tayari ni 'Pre Campaign' ambayo huyu Mama anaifanya katika Jimbo ambalo analitaka. Sina shaka na Uwezo wake ila GENTAMYCINE napenda Haki na Usawa kwa Watu wote hata kama sioni haya (aibu) Kujinasibu kabisa hapa kuwa nakipenda Chama cha Mapinduzi (CCM) na Mimi ni mwana Mapinduzi kweli kweli Kiasili.

Najua kwa huu Uzi nitachukiwa mno na wana CCM Wenzangu hapa, nitatukanwa na hadi Kudhihakiwa ila nitasimama pale pale kuwa hii si Haki na hapa hakuna Usawa wowote ule. Hata kama kweli tunataka kuwa Wabunge kwa Udi na Uvumba ila 'sometimes' basi kidogo tuwe 'tunajishtukia' na tusisahau kuwa Watanzania wa Leo huenda wakawa na Akili kushinda nyie Wagombea Ubunge.
Ccm ndio sababu ya umasikini wa watanzania sijui ni popoma gani bado anataka kuiona ccm ikiendelea kuwepo.
 
Back
Top Bottom