LGE2024 CCM Katavi wapiga magoti kuwaombea kura waogombea wao Uchaguzi Serikali Mitaa! Mpaka watatambaa ili wapewe kura

LGE2024 CCM Katavi wapiga magoti kuwaombea kura waogombea wao Uchaguzi Serikali Mitaa! Mpaka watatambaa ili wapewe kura

Uchaguzi wa Serikali za Mitaa 2024

Cute Wife

JF-Expert Member
Joined
Nov 17, 2023
Posts
1,906
Reaction score
5,000
Wakuu

Akina mama wa CCM wapiga magoti ili kuwaombea kura wagombea wao kwenye Uchaguzi wa Serikali za Mitaa. Wakija kuomba kura mpaka wanatambaa, wakishazipata wanaanza kutupiga matukio, hata kuwasogelea huwezi, unasikia unajua mimi ni nani? Tutaona mengi wakati huu.

Kupata taarifa na matukio ya kimkoa kuhusu Uchaguzi Serikali za Mitaa ingia hapa: LGE2024 - Special Thread: Orodha ya Mijadala ya Mikoa yote Tanzania Bara inayoshiriki katika Uchaguzi wa Serikali za Mitaa 2024

===

katibu Mwenyezi wa CCM Mkoa wa Katavi Teonas Kinyonto wakati alipokuwa akiwaombea Kura wagombea wa chama hichi katika kampeni za uchaguzi wa serikali za Mitaa amesema wanawaweka wagombea wenye weledi kwa maslahi mapana ya nchi, akisema CHADEMA na wengine wameshapoteana.

Kwa vimbwanga na vituko vingine kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025 ruka hapa: Uzi Maalum wa Vibweka na Hekaheka za wanasiasa kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025
 
Wakuu

Akina mama wa CCM wapiga magoti ili kuwaombea kura wagombea wao kwenye Uchaguzi wa Serikali za Mitaa. Wakija kuomba kura mpaka wanatambaa, wakishazipata wanaanza kutupiga matukio, hata kuwasogelea huwezi, unasikia unajua mimi ni nani? Tutaona mengi wakati huu.

===

katibu Mwenyezi wa CCM Mkoa wa Katavi Teonas Kinyonto wakati alipokuwa akiwaombea Kura wagombea wa chama hichi katika kampeni za uchaguzi wa serikali za Mitaa amesema wanawaweka wagombea wenye weledi kwa maslahi mapana ya nchi, akisema CHADEMA na wengine wameshapoteana.
Nabado kuna siku wote kwa umoja wao watawapigia watanzania magoti wakiomba wasamehewe madhambi wanayotutendea.
 
Wakuu

Akina mama wa CCM wapiga magoti ili kuwaombea kura wagombea wao kwenye Uchaguzi wa Serikali za Mitaa. Wakija kuomba kura mpaka wanatambaa, wakishazipata wanaanza kutupiga matukio, hata kuwasogelea huwezi, unasikia unajua mimi ni nani? Tutaona mengi wakati huu.

===

katibu Mwenyezi wa CCM Mkoa wa Katavi Teonas Kinyonto wakati alipokuwa akiwaombea Kura wagombea wa chama hichi katika kampeni za uchaguzi wa serikali za Mitaa amesema wanawaweka wagombea wenye weledi kwa maslahi mapana ya nchi, akisema CHADEMA na wengine wameshapoteana.
Halafu hili li-kiongozi lao ni shangingi full. Tanzania tumepotea kweli kweli. Mijitu kama hii ndiyo inapewa nafasi kuongoza nchi.
 
Kama mmeleta maendeleo, na mnakubalika kwanini mnapigia magoti wananchi,???
 
Wakuu

Akina mama wa CCM wapiga magoti ili kuwaombea kura wagombea wao kwenye Uchaguzi wa Serikali za Mitaa. Wakija kuomba kura mpaka wanatambaa, wakishazipata wanaanza kutupiga matukio, hata kuwasogelea huwezi, unasikia unajua mimi ni nani? Tutaona mengi wakati huu.

===

katibu Mwenyezi wa CCM Mkoa wa Katavi Teonas Kinyonto wakati alipokuwa akiwaombea Kura wagombea wa chama hichi katika kampeni za uchaguzi wa serikali za Mitaa amesema wanawaweka wagombea wenye weledi kwa maslahi mapana ya nchi, akisema CHADEMA na wengine wameshapoteana.
Sasa nimejua kwa nini ccm wanatumia polisi. Nimesikia tu kwamba naomba na naomba sana.
 
Back
Top Bottom