Akina mama wa CCM wapiga magoti ili kuwaombea kura wagombea wao kwenye Uchaguzi wa Serikali za Mitaa. Wakija kuomba kura mpaka wanatambaa, wakishazipata wanaanza kutupiga matukio, hata kuwasogelea huwezi, unasikia unajua mimi ni nani? Tutaona mengi wakati huu.
katibu Mwenyezi wa CCM Mkoa wa Katavi Teonas Kinyonto wakati alipokuwa akiwaombea Kura wagombea wa chama hichi katika kampeni za uchaguzi wa serikali za Mitaa amesema wanawaweka wagombea wenye weledi kwa maslahi mapana ya nchi, akisema CHADEMA na wengine wameshapoteana.
Akina mama wa CCM wapiga magoti ili kuwaombea kura wagombea wao kwenye Uchaguzi wa Serikali za Mitaa. Wakija kuomba kura mpaka wanatambaa, wakishazipata wanaanza kutupiga matukio, hata kuwasogelea huwezi, unasikia unajua mimi ni nani? Tutaona mengi wakati huu.
katibu Mwenyezi wa CCM Mkoa wa Katavi Teonas Kinyonto wakati alipokuwa akiwaombea Kura wagombea wa chama hichi katika kampeni za uchaguzi wa serikali za Mitaa amesema wanawaweka wagombea wenye weledi kwa maslahi mapana ya nchi, akisema CHADEMA na wengine wameshapoteana.
Akina mama wa CCM wapiga magoti ili kuwaombea kura wagombea wao kwenye Uchaguzi wa Serikali za Mitaa. Wakija kuomba kura mpaka wanatambaa, wakishazipata wanaanza kutupiga matukio, hata kuwasogelea huwezi, unasikia unajua mimi ni nani? Tutaona mengi wakati huu.
katibu Mwenyezi wa CCM Mkoa wa Katavi Teonas Kinyonto wakati alipokuwa akiwaombea Kura wagombea wa chama hichi katika kampeni za uchaguzi wa serikali za Mitaa amesema wanawaweka wagombea wenye weledi kwa maslahi mapana ya nchi, akisema CHADEMA na wengine wameshapoteana.
Akina mama wa CCM wapiga magoti ili kuwaombea kura wagombea wao kwenye Uchaguzi wa Serikali za Mitaa. Wakija kuomba kura mpaka wanatambaa, wakishazipata wanaanza kutupiga matukio, hata kuwasogelea huwezi, unasikia unajua mimi ni nani? Tutaona mengi wakati huu.
katibu Mwenyezi wa CCM Mkoa wa Katavi Teonas Kinyonto wakati alipokuwa akiwaombea Kura wagombea wa chama hichi katika kampeni za uchaguzi wa serikali za Mitaa amesema wanawaweka wagombea wenye weledi kwa maslahi mapana ya nchi, akisema CHADEMA na wengine wameshapoteana.