jamani hawa mafisadi hawawajali wananchi hata wote tukifa, ujue mtu mzima mshipa wa aibu umekatika, JK anaangalia hivi kweli CHENGEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEE ni wa kufikiria hata uspika? na wana CCM wanafurahia, kweli akupigae risasi hachagui pa kukupiga anakuua puuuuuuuuuuhhh, sijui naota au, CHENGE au am i dreaming...!!!!!? haki ya shetani, duuh