CCM kemeananeni mapema na muonyeni Haji Manara kavuka mstari

CCM kemeananeni mapema na muonyeni Haji Manara kavuka mstari

Suzy Elias

JF-Expert Member
Joined
Nov 9, 2021
Posts
1,067
Reaction score
6,200
CCM mkiendelea hivyo mlivyo sasa kwa kila mtu kutoa tamko mnapotea.

Hebu acheni huo ujinga!

Haji Manara kaenda mbali sana kuwataka ndugu wa marehemu watulie je tafsiri yake ni ipi hapa na ni marehemu yupi anayemsema?!

Shauri yenu.
 
CCM mkiendelea hivyo mlivyo sasa kwa kila mtu kutoa tamko mnapotea.

Hebu acheni huo ujinga!

Haji Manara kaenda mbali sana kuwataka ndugu wa marehemu watulie je tafsiri yake ni ipi hapa na ni marehemu yupi anayemsema?!

Shauri yenu.
Mnhh!!! Sasa haji kafikaje tena hukoo!!?
 
Aisee ukiingia kwenye page ya manara na hasira unaweza utoke na hasira zaidi ukataman umpige ata mabomu..ukiona post yoyote ya manara ondoa kwanza hasira maana uyu mzukule cjui ashalogwa??
Ametapika nini huko huyo manara
 
CCM mkiendelea hivyo mlivyo sasa kwa kila mtu kutoa tamko mnapotea.

Hebu acheni huo ujinga!

Haji Manara kaenda mbali sana kuwataka ndugu wa marehemu watulie je tafsiri yake ni ipi hapa na ni marehemu yupi anayemsema?!

Shauri yenu.
Baada ya kuangalia unayopost hapa mtandaoni kwa siku hizi chache, nimegundua hata wewe ni ndugu wa marehemu. Ashakufa na hanyanyuki. Anueni tanga muende shambani mkalime
 
Yule shoga Manara hana madhara aendelee na michezo yake michafu, tusimchukulie serious.
Kaona mpira amedoda sasa anakimbilia CCM. Toka Mzee Tozi amfumue marinda akili hazijamkaa sawa
 
CCM mkiendelea hivyo mlivyo sasa kwa kila mtu kutoa tamko mnapotea.

Hebu acheni huo ujinga!

Haji Manara kaenda mbali sana kuwataka ndugu wa marehemu watulie je tafsiri yake ni ipi hapa na ni marehemu yupi anayemsema?!

Shauri yenu.
Amewambia nyinyi wafiwa wa marehemu dikteta
 
Yule shoga Manara hana madhara aendelee na michezo yake michafu, tusimchukulie serious.
Mashoga mnajuana kumbe,we lizee lakini bado wapelekewa Moto, wasukuma dikteta kashaozeana,jaribuni kumsahau tu
 
CCM mkiendelea hivyo mlivyo sasa kwa kila mtu kutoa tamko mnapotea.

Hebu acheni huo ujinga!

Haji Manara kaenda mbali sana kuwataka ndugu wa marehemu watulie je tafsiri yake ni ipi hapa na ni marehemu yupi anayemsema?!

Shauri yenu.
wewe inaonekana umevurugwa na maisha hasira unakuja kumalizia kwa Manara
 
Sasa kwani nyote hamjui kua mtaji wa manara ni mdomo( maneno). Ndio kula yake hapa mjini

Au nasema uwongo ndugu zangu
 
Tutamfikishia salami zake mjane wa marehemu na wanae.
Maisha yanachangamoto sana.
 
Back
Top Bottom