Ccm komeni kabisa kutaka kuchakachua maoni ya watanzania katiba mpya.

Ccm komeni kabisa kutaka kuchakachua maoni ya watanzania katiba mpya.

Sengeon

JF-Expert Member
Joined
Dec 29, 2011
Posts
529
Reaction score
113
Nimekuwa nikisikitishwa sana kwa jinsi chama cha mapinduzi inavyotaka kuharibu mfumo mzima wa mchakato wa katiba mpya. Na kwa jinsi hiyo watanzania tukatae utumwa huo wa fikra unaotaka kuletwa na ccm. Serikali tatu ndio maoni ya watanzania wengi. Lugha ya kusema eti muungano unaweza kuvunjika au gharama ya kuendesha Serikali tatu ni mzigo huo ni uongo mtupu kwani Tz ni nchi Tajiri sana lkn Viongozi na familia zao ndio wanufaika wakubwa wa uchumi wa nchi. Warioba na kamati yake yote ni watu wasomi na wenye uelewa mpana na wamesikiliza maoni ya wananchi na katiba inayotokana na wananchi ndio tunayoitaka. Ccm wapambane na katiba yao ya chama na sio ya Nchi. Hizi kauli za serikali mbili tumechoka nazo na kama Zanzibar inaishi tunataka na Tanganyika iliyozikwa ifufuke. Najisikia fahari sana Tanganyika kufufuka. Amen.
 
NINGEPEWA UWEZO WA KUFUTA KITU KWENYE FIKRA ZA WATANZANIA ningefuta chembe hai za U-CCM alafu niwaache sasa waanze upya kupambanua mambo na kuamua kuchukua maamuzi mapya....

......ETI NI KWELI RAIS WA TANZANIA AMEVUNJA REKOD YA KUSAFIRI NJE YA NCHI KULIKO MARAISI WOTE AFRICA??? NA AILKUA AKIENDA KUOMBA NET,,,, :smile-big: :argue:
 
mkuu TANGANYIKA lazima irudi. hapo ndo tutakuwa umetatua kero za muungano nawashangaa ndugu zetu wazenji wa magamba nao wanataka serekaki mbili. ndugu zangu wazenji mko serious kweli? mambo 7 tu ndo ya muungano the rest fanyeni mtakavyo. aaaai
 
mpinzani ni mpinzani tu,ni sawasawa na kuruta tu,semeni mtakavyo,mwisho wa siku ni mbili tu,warioba mnafiki na ni sawa na hao wapinzani uchwara,
 
Back
Top Bottom