LGE2024 CCM kuhimiza wanachama wao kutawanyika baada ya kupiga kura ni taa nyekundu kwa wapinzani, kuna jambo linapangwa

LGE2024 CCM kuhimiza wanachama wao kutawanyika baada ya kupiga kura ni taa nyekundu kwa wapinzani, kuna jambo linapangwa

Uchaguzi wa Serikali za Mitaa 2024

Cute Wife

JF-Expert Member
Joined
Nov 17, 2023
Posts
1,906
Reaction score
5,000
Wakuu,

Hiyo siyo kawaida kwamba CCM wanajiamini sana na kuamini mawakala wao kuwa mambo yataenda vizuri. Kuja jambo linapangwa;

1. Mapolisi kuwa standby wapinzani wakifanya nywi kitatembezwa kipigo cha mbwa koko, halafu waje kusema wapinzani walileta vurugu wakati wameshindwa zoezi limeenda kwa haki
2. Mawakala wameshashikwa mkono ni mwendo wa kugeuka pembeni tu na kuuza mechi
3. Mabox yashawekwa ni place na kura za ushindi hivyo wamerelax wanasubiri kutangazwa tu.

Kupata taarifa na matukio ya kimkoa kuhusu Uchaguzi Serikali za Mitaa ingia hapa:
LGE2024 - Special Thread: Orodha ya Mijadala ya Mikoa yote Tanzania Bara inayoshiriki katika Uchaguzi wa Serikali za Mitaa 2024

Huku kurelax huku hakutoi picha nzuri, wapinzani mmejipanga? Shida yenu huwa hamna plan B, ni mwendo wa kulalamika tu!

Ngoja tuone nini kitajiri hiyo kesho.

PIA SOMA
- LGE2024 - Polisi: Tusiwape nafasi wanaotaka kuvuruga amani ya Uchaguzi wa kesho Novemba 27, 2024
 
Wakuu,

Hiyo siyo kawaida kwamba CCM wanajiamini sana na kuamini mawakala wao kuwa mambo yataenda vizuri. Kuja jambo linapangwa;

1. Mapolisi kuwa standby wapinzani wakifanya nywi kitatembezwa kipigo cha mbwa koko, halafu waje kusema wapinzani walileta vurugu wakati wameshindwa zoezi limeenda kwa haki
2. Mawakala wameshashikwa mkono ni mwendo wa kugeuka pembeni tu na kuuza mechi
3. Mabox yashawekwa ni place na kura za ushindi hivyo wamerelax wanasubiri kutangazwa tu.

Huku kurelax huku hakutoi picha nzuri, wapinzani mmejipanga? Shida yenu huwa hamna plan B, ni mwendo wa kulalamika tu!

Ngoja tuone nini kitajiri hiyo kesho.
piga kura kwa usahihi, na uende nyumbani kwa amani,

hakuna haja ya kuzengea zengea kwenye vituo vya kupigia kura, kwani ikiwa umeshapiga kura maana yake hauhusiki tena eneo hilo,

ukikaidi utachukuliwa hatua mara moja, ili kuimarisha usalama wa wapigakura wengine nao wapige kura kwa utulivu.🐒
 
Back
Top Bottom