CCM kumchukulia hatua za kinidhamu mbunge Catherine Magige na wenzie kwa kuvamia msiba na kukosa utu

Nashangaa munavyomtetea huyo malaya wakati hamumjui vyema
Kwenye sakata hili tuna pande mbili za shilling, Me na Ke. Kwa vyovyote vile hatuwezi kuwa na maoni sawa. Ila kama Magige alichepuka; hilo ni suala lingine. Tulidhani magige alikuwa beneti na marehemu na hakuwa mchepukaji, kama likuwa mchepukaji, basi hakustahili hata kuweka lile shada alishajitoa ulingoni
 

Narudia tena,hata wangeishi miaka 10 pamoja,bado huyu ni Hawara tu,hakuna jamii yoyote iliyokuwa inaamini kuwa huyu ni mke na yeye mwenyewe Cathe alijua fika kuwa bado ni kimada,ndiyo maana pana clip moja ya siku ya Birtday yake anamuomba rasmi Mwanaume amuoe.

Catherine ni Mbunge ana heshima yake ktk jamii,kulikuwa na haja gani ya kwenda kwenye msiba ambao tayari ukishakuwa na taharuki kubwa sana tangu mwanzo wa msiba? Alishindwa nini kutumia busara ya kutulia kwake akaomboleza kimya kimya na kupisha wenye familia wazike bila drama? Kumbuka hakupata nafasi ya kumuona Marehemu tangu amefariki mpaka amefukiwa,kama hatua zote hizo hakuweza kuwepo why aje alete drama kwenye hatua ya mwisho kabisa ya process ya mazishi? Kama kweli alitaka si angeenda sasa wakati wanaaga mwili ili amuone? Mbona aliufyata kote huko. Yeye na wapambe wake kwaza ukiwaona walikuwa Wamelewa Chakari,wamejishushia hadhi sana,huwezi kulazimisha kwenda msibani kama Wafiwa hawataki uende,yeye alikuwa Kimada na hiyo ndiyo stahiki yake,kufungiwa geti. Ngoja afunguliwe kesi ya tresspass kwa property ya watu ndiyo atajua hajui.
 
Na ujue aliyemuoa huyu unayemsifu kaoa mke wa mtu. Single maza ni mke wa baba wa mtoto wa kwanza regardless what.

Hiyo utajuwa wewe but as long as yupo kwenye Ndoa halali hongera kwake. Kuwa single mother siyo death sentence kwamba maisha hayawezi endelea. Mama Anna Mkapa aliolewa na Mzee Mkapa akiwa Single Mother,hakuna cha ajabu.
 
[emoji23][emoji23][emoji23] yaan magige anajaza fuso kwa mabwana. Kwamba skendo zake hamzijui ama? Sindo kina kamata hao? Tena muwe makini watu wanatumia malukanga jamani. Mutaenda kupangwa madirishani kila mwezi shauri zenu. Nadhan hamuwajui vzr hawa makahaba. Watawamalizaaaa.
 
NITASHANGAA AKIENDELEA KUWA MWANACHAMA.WA CCM
MDA MUAFAKA KUSAFICHA UOZOOO
 
Mke wa marehemu alivyotupa lile shada la maua la Catherine [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Watu na waume zao bana [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Mumeee mumekeeeeee

Anahisiii kuitwaa MKE krahisrahisitu
 
najisikia aibu sana kuwakilishwa na Mbunge mhuni wakati wapo wenye fikea na nidhamu.
Tulikwambia mapema CCM imejaa wajinga, mwingine anapambania nguvu za kiume bungeni, mwingine ndiyo huyu anawaza waume za watu. Shame on them
 
Ndugu Shaka.Acha kuchanganya mambo binafsi ya MTU na chama.Umekosea sana.Na pia umekulupuka sana
 
Inabidi na Naibu Spika nae achukuliwe hatua kwani nasikia yeye alikuwa anaongoza kikundi cha kukusanya michango bungeni
 
kuandikwa kwenye wosia kitu gani, aliandikwa Jacqueline Ntuyabaliwe aliyekua akiaminisha hadi wajinga mitandaoni jui ya happy life yao na kujiita Mrs Mengi, ndio sembuse huyo Mh. mgawaji bureer
 
Cathy alimuhucumia marehemu kwa mwaka mzima full kipochi manyoya ,huyo Aziza alikuwa anapuyanga kivyake,kwanini Catthy azuiliwe kumzika mchumba ake?

Mchumba mwenye ndoa duuh hii mpya [emoji3][emoji3][emoji81][emoji81][emoji81][emoji81][emoji81][emoji81][emoji81][emoji81][emoji81][emoji81][emoji81][emoji81][emoji81][emoji81]
 
Hawana ubavu huo,hilo chama limejaa wauza papa tupu hakuna mwenye kujiheshimu...angalia msafara wake wa juzi kajaza uwt arusha,magige muuza utumbo mzoefu tofaiti yke anauzia bungeni
 
Hajaishi nae 2years. Na magige anajua kabisa yeye sio mke na ndo maana Kuna video anaonekana anaomba Mungu awe official Mrs madodo. Msijitoe ufahamu. Tena mkumbuke Aziza alishinda kuravza maoni viti maalum. Catherine akakasirika Sana, baadae jina la Aziza halikurud na la Catherine ndo likarud. Akaona adhabu amnyang'anye mwenzie mume.... YAni kachukua ubunge na mume
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…