Malata Junior
JF-Expert Member
- Nov 29, 2011
- 3,104
- 2,550
PatheticMnamuonea wivu Dr. Shika kwa jinsi anavyovuta mkwanja kiulaini. Mwacheni jamaa na bahati yake, anatumia akili ya saba kuunganisha michongo yake.
pambana na hali yako acha mbinu halali zitumike.au wewe unaona wamevunja sheria gani ya nchiDr Shika ni tapeli aliyeharibu mnada halali wa kuuza mali ya fisadi Lugumi mkwepa kodi aliyeikosesha serikali mapato.Tapeli huyu ambaye alipaswa kuwa segerea, kupanda jukwaani kumnadi mgombea udiwani wa ccm ni aibu kubwa kwa chama tawala na inaonesha ni jinsi gani chama hicho kina ukaribu na mahusiano na mafisadi na matapeli wa nchi hii mpaka kufikia kuwatumia kuwanadi wagombea wake! Shame on you ccm!
matumbo joto yan cdm hamlambi hata kata mojaDr Shika ni tapeli aliyeharibu mnada halali wa kuuza mali ya fisadi Lugumi mkwepa kodi aliyeikosesha serikali mapato.Tapeli huyu ambaye alipaswa kuwa segerea, kupanda jukwaani kumnadi mgombea udiwani wa ccm ni aibu kubwa kwa chama tawala na inaonesha ni jinsi gani chama hicho kina ukaribu na mahusiano na mafisadi na matapeli wa nchi hii mpaka kufikia kuwatumia kuwanadi wagombea wake! Shame on you ccm!
There is nothing pathetic about it.Pathetic
Ova
Kuna mafisadi na majizi mangapi yako upande wa pili yanafanya kampeni za udiwani,au hayo huyaoni unayaona ya dr shika tu?Dr Shika ni tapeli aliyeharibu mnada halali wa kuuza mali ya fisadi Lugumi mkwepa kodi aliyeikosesha serikali mapato.Tapeli huyu ambaye alipaswa kuwa segerea, kupanda jukwaani kumnadi mgombea udiwani wa ccm ni aibu kubwa kwa chama tawala na inaonesha ni jinsi gani chama hicho kina ukaribu na mahusiano na mafisadi na matapeli wa nchi hii mpaka kufikia kuwatumia kuwanadi wagombea wake! Shame on you ccm!
matumbo joto yan cdm hamlambi hata kata moja