Elections 2015 CCM kumtumia Dr. Shika kwenye kampeni ni aibu kubwa!

matumbo joto yan cdm hamlambi hata kata moja
Inawezekana aisee kwa jinsi mlivyo anza utekaji kweli polisi lazima wawape ushindi tena kwa kata zote 43 na wataongezea na mbili za ziada maana ccm bila polisi hakika uchaguzi unawashinda sana
 
Wanaweza kumtoa jela hata papii kocha 2020 awapigie kampeni...
 
Mwenyekiti wa chadema ni tapeli na fisadi, mtu asiyelipa kodi mabilioni na mabilioni ambayo yangeboresha huduma za kijamii ni tapeli. Ni.aibu kubwa sana chama kuendelea kumkumbatia tapeli huyu.
 
Haya nayo ni mawazo mfu!! sasa hilo nalo ni la kushikia bango!!!!

unaanzaje kumwambia mtu tapeli wakati hajawahi hata kumtapeli ndugu yako hata mmoja!!!
 
Nyumba za jk haziwezi uzwa kwa mnada Dr shika anajua anachofanya. Muulize jpm ameshindwa nini kuziuza au kuzitaifisha?
 
CCM bila watu kama hao nani atahudhuria mikutano yao ?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…