Pre GE2025 CCM kuna Unafiki uliopitiliza Waziri anatoa Salamu za Mbunge kwa Wapigakura, Ulega punguza Uswahili!

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Kwa hiyo unashangaa kuona mnafiki ccm? Huko ndiyo nyumbani kwao wamejaa kama mchanga wa pwani
 
2025 Jerry na Bona Kamoli watapigwa kama ngoma
 
Njaa mbaya bro, watu wanalinda njia zao kupata maokoto, kwa mfumo wa CCM, inabidi akili uiweke pembeni, kuwa chawa, mnafiki, jipendekeze, jifanye mjinga, duni mbele ya wakubwa zako, (kabudi alisema katolewa jalalani), juzi kinana, na majaliwa, wanapendekeza form za urais CCM, itolewe moja tu ya samia, kinyune cha utaratibu, yote ni kuzuia boss wao apenye kiuraiiiini!.
Ukienda kinyume, na CCM politburo(political establishment), wanaweza hata kukutoa roho!
Mi nimeishakubali, kwa mwendo huu wa CCM, nchi haiwezi kuendelea, at least not in my life time, 60yrs from now!
May be yafanyike mapinduzi,
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…