Elections 2010 CCM kushinda tena arusha mjini?

Kamaka

JF-Expert Member
Joined
Jun 7, 2010
Posts
563
Reaction score
33
WAKUU,Kutokana na mapokezi makubwa aliyoyapata Dk W.Slaa Arusha Mjini kwenye ngome ya CCM unafikiri itawezekana kwa chama hicho kutetea jimbo lake??????????????.mpaka sasa Dr.Batilda ameanza cheche zake ,kwa kuwashawishi wapiga kura hususan wakina mama waweze kumpa kura ya ndio.Naomba kuwakilisha.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…