Kusikiliza nini kwenye huo mkutano maana ya uchumi kukuwa huku bei za bidhaa juu?
au kwa nini wezi wanaaiba bilioni naombwa warudishe huku wanaoiba kuku wanfungwa?
au kwa nini wengine uraia unahojiwa na wengine tena wanaingia bungeni wanaachwa bila kuhohiwa wakati mashaka yaleyale ?
au kusikiliza anavyosema hajaoa mke mwingine?
au kusikiliza anavyosema mwanae hausiki na anguko la Bashe?
Ama kusikiliza walivyotimiza ahadi alizo ahidi 2005,ambazo wote tunaona ametimizaje?
Au kusikiliza bilion wamezipataje za kampeni?na watafikiaje lengo la bilioni 50?
Mkwere anakazi kweli kweli na nyie vibaraka kazi mnayo pia wapeni watu tshirt pikeni pilau ,muwasombe kwenye malori na kuwapeleaka jangwani ahaaaaaaaaaaaaaaaaaa chama cha mafisadi bwana .