Tetesi: CCM Kuwanasa Viongozi wa Vijana NCCR - MAGEUZI na ACT Wazalendo ni muda tu!!

Tetesi: CCM Kuwanasa Viongozi wa Vijana NCCR - MAGEUZI na ACT Wazalendo ni muda tu!!

Joined
Apr 15, 2015
Posts
26
Reaction score
25
Taarifa za karibu zinaonesha Chama cha Mapunduzi CCM kinawawinda viongozi wa Vijana kutoka ACT -Wazalendo na NCCR - MAGEUZI, hii ni baada ya kumnasa Pastrobass Katambi wa CHADEMA.

Kwa sasa Kuna watu ndani ya UVICCM kuwashawishi Viongozi hao wa Vijana kutoka Upinzani ili nao wafike bei ya kununuliwa, Muda si mrefu utasikia wanaojindoa kwenye vyama vyao na kujiunga CCM. NCCR tiari kigogo mmoja kaondoka huku ACT akishawishiwa kigogo mwingine ahame Chama hicho.

Mwenyekiti wa Vijana NCCR alikuwa atoke mapema mwaka Jana Ila kwa sababu kadhaa hakuhamia CCM, Ni muda tu wanachomoka, watakao baki upinzani ndiyo cream ya Mageuzi, mpaka 2020 Mengi yanakuja.

CC;

Kalama Kaira, ACT - WAZALENDO
Licapo Bakar, ACT - WAZALENDO
Nicolas Clinton, NCCR - MAGEUZI

Pastrobass Katambi, CHADEMA out.
 
Taarifa za karibu zinaonesha Chama cha Mapunduzi CCM kinawawinda viongozi wa Vijana kutoka ACT -Wazalendo na NCCR - MAGEUZI, hii ni baada ya kumnasa Pastrobass Katambi wa CHADEMA.

Kwa sasa Kuna watu ndani ya UVICCM kuwashawishi Viongozi hao wa Vijana kutoka Upinzani ili nao wafike bei ya kununuliwa, Muda si mrefu utasikia wanaojindoa kwenye vyama vyao na kujiunga CCM. NCCR tiari kigogo mmoja kaondoka huku ACT akishawishiwa kigogo mwingine ahame Chama hicho.

Mwenyekiti wa Vijana NCCR alikuwa atoke mapema mwaka Jana Ila kwa sababu kadhaa hakuhamia CCM, Ni muda tu wanachomoka, watakao baki upinzani ndiyo cream ya Mageuzi, mpaka 2020 Mengi yanakuja.

CC;

Kalama Kaira, ACT - WAZALENDO
Licapo Bakar, ACT - WAZALENDO
Nicolas Clinton, NCCR - MAGEUZI

Pastrobass Katambi, CHADEMA out.
watasajili viongozi na wanachama waandamizi wa upinzani.

nasubiri kuona watakavyosajili wapiga kura waliochoka na mbwembwe zao ambao wapo kwenye dimbwi la ukata mkubwa.
one can easily rig a 55% v 45% contest but it's something else when the opposition has 70% - which is what it currently is.
 
Hizi habari zimekuwa "zilipendwa".
 
Back
Top Bottom