CCM kwanini tumeona ni muhimu kuweka pazia kuliko mlango?

CCM kwanini tumeona ni muhimu kuweka pazia kuliko mlango?

Resilience

JF-Expert Member
Joined
Jan 4, 2023
Posts
1,096
Reaction score
4,948
Upo wakati siasa zinahitaji milango kuliko mapazia. Upo wakati mitikisiko ya milango inakufanya uchague zaidi kuweka pazia kuliko kuweka mlango.

Upo mtikisiko mkubwa ndani ya CCM uliopekea wanafalsafa kubainisha umuhimu wa pazia kuliko kuendelea kung'ang'ania milango ambayo wakati mwingine ugoma kufunguka kwa wakati .

Lakini siasa za sasa za upinzani zingependa zaidi uwepo wa mlango kwa ajili ya ulinzi wa wageni wanapokuwa chumbani. Tunaamini dola itasaidia kukaa karibu na pazia pale pale upepo utakapofika?
 
Tatizo la pazia ni kubwa, mnaweza kuwa mmepumzika na mama baada ya shughuli za kutwa nzima mara dogo anatokea chumba cha dada huko moja kwa moja hadi chumbani kwenu - inakuwa balaa.
 
Biblia ni raha sana
Luka '14:28-29'
28 Maana ni nani katika ninyi, kama akitaka kujenga mnara, asiyeketi kwanza na kuhesabu gharama, kwamba anavyo vya kuumalizia?
29 Asije akashindwa kuumaliza baada ya kuupiga msingi, watu wote waonao wakaanza kumdhihaki,
 
Biblia ni raha sana
Luka '14:28-29'
28 Maana ni nani katika ninyi, kama akitaka kujenga mnara, asiyeketi kwanza na kuhesabu gharama, kwamba anavyo vya kuumalizia?
29 Asije akashindwa kuumaliza baada ya kuupiga msingi, watu wote waonao wakaanza kumdhihaki,
Umemaliza kila kitu
 
Upo wakati siasa zinahitaji milango kuliko mapazia. Upo wakati mitikisiko ya milango inakufanya uchague zaidi kuweka pazia kuliko kuweka mlango.

Upo mtikisiko mkubwa ndani ya CCM uliopekea wanafalsafa kubainisha umuhimu wa pazia kuliko kuendelea kung'ang'ania milango ambayo wakati mwingine ugoma kufunguka kwa wakati .

Lakini siasa za sasa za upinzani zingependa zaidi uwepo wa mlango kwa ajili ya ulinzi wa wageni wanapokuwa chumbani. Tunaamini dola itasaidia kukaa karibu na pazia pale pale upepo utakapofika?
wassira anaweza ku step up na kuwa mwenyekiti wa chama!!!na Kwa kua ni pazia itasaidia state kupitisha agenda zao za mabadiliko hasa katiba mpya!

Wassira hatokua na uchungu was mabadiliko ya katiba coz hana Cha kupoteza!

Kama yakitokea yalee ni rasmi hata uchaguzi hautokuwepo Hadi kitabu kitakapokamilika!!

Nawaza!
 
Pazia jepesi ka dela, pazia chafu na chakavu ni aibu hili lingewekwa choo cha mabua.
 
Back
Top Bottom