Domhome
JF-Expert Member
- Jun 28, 2010
- 3,198
- 3,950
Kwa jinsi hali ya kisiasa na joto la uchaguzi lilivyopanda, binafsi sichelei kuyamka kuwa hakuna kizuizi kitakachomzuia Dr. Slaa kuingia Ikulu baada ya Oktoba 31. Mtu pekee ndani ya CCM ambaye angethubutu kuleta upinzani na kumpunguzia kura Slaa, ni Mh. JPM
Je, unadhani kuna mwingine yeyote ndani ya CCM zaidi ya JPM? endeleza hapa:
Je, unadhani kuna mwingine yeyote ndani ya CCM zaidi ya JPM? endeleza hapa:
- JPM
- .............