Mindyou JF-Expert Member Joined Sep 2, 2024 Posts 1,869 Reaction score 4,877 Jan 22, 2025 #1 Wakuu, Wote tunajua kuwa Uchaguzi umekaribia na CCM kama kawaida wataanza kufanya vituko ili kupata huruma za wananchi. Kuelekea Oktoba Makada wa CCM wataanza kuosha vyombo, kuruka sarakasi, kupiga magoti n.k Tujumuike hapa kuweka picha na vibonzo kuelekea mwezi Oktoba
Wakuu, Wote tunajua kuwa Uchaguzi umekaribia na CCM kama kawaida wataanza kufanya vituko ili kupata huruma za wananchi. Kuelekea Oktoba Makada wa CCM wataanza kuosha vyombo, kuruka sarakasi, kupiga magoti n.k Tujumuike hapa kuweka picha na vibonzo kuelekea mwezi Oktoba
Madihani JF-Expert Member Joined Apr 30, 2015 Posts 6,154 Reaction score 7,083 Jan 22, 2025 #2 Kuchagua kuwa Mwanasiasa sio rahisi kama raia wengi wanavyochukulia.
B M F ICONIC JF-Expert Member Joined Jan 28, 2019 Posts 824 Reaction score 1,631 Jan 22, 2025 #3 Ndo ugali wetu ulipo na bahasha za khaki zinapo tokea
TODAYS JF-Expert Member Joined Apr 30, 2014 Posts 14,747 Reaction score 24,250 Jan 22, 2025 #4 Wananchi waala hatuna shida, waje tu!.
Mindyou JF-Expert Member Joined Sep 2, 2024 Posts 1,869 Reaction score 4,877 Jan 22, 2025 Thread starter #5 Madihani said: Kuchagua kuwa Mwanasiasa sio rahisi kama raia wengi wanavyochukulia. Click to expand... Ndo tupige magoti mkuu? 😂😂
Madihani said: Kuchagua kuwa Mwanasiasa sio rahisi kama raia wengi wanavyochukulia. Click to expand... Ndo tupige magoti mkuu? 😂😂