CCM Mbeya: Hatutamvumilia yoyote atakayeharibu mali za chama, kuanzia sasa watakaokodi uwanja wa Sokoine kupewa masharti maalumu

CCM Mbeya: Hatutamvumilia yoyote atakayeharibu mali za chama, kuanzia sasa watakaokodi uwanja wa Sokoine kupewa masharti maalumu

johnthebaptist

JF-Expert Member
Joined
May 27, 2014
Posts
97,869
Reaction score
171,716
Uongozi wa CCM jijini Mbeya umesema umekasirishwa sana na kitendo cha mali ya chama yaani Uwanja wa Sokoine kuharibiwa.

Uongozi umesema wamemuagiza aliyekodi uwanja huo na kutokea uharibifu autengeneze ndani ya wiki tatu na amekubali kuukarabati.

Kadhalika CCM wamesema kuanzia sasa mtu au taasisi yoyote itakayokodi uwanja wa Sokoine atapewa masharti maalum mojawapo ni kutoigusa pitch ya kuchezea endapo tukio husika halihusiani na mpira.

Source Star tv habari

My take; Madaktari Mwakyembe na Tulia wameichangamsha Mbeya.
 
sokoine ni mali ya chama?........


well, hata uhuru (shamba la bibi), ikulu, hospital zilizojengwa kwa nguvu za wananchi na mashule yote iwe mali ya chama!!!.......

Sent using Jamii Forums mobile app
 
sokoine ni mali ya chama?........


well, hata uhuru (shamba la bibi), ikulu, hospital zilizojengwa kwa nguvu za wananchi na mashule yote iwe mali ya chama!!!.......

Sent using Jamii Forums mobile app
Naibu spik
Uongozi wa CCM jijini Mbeya umesema umekasirishwa sana na kitendo cha mali ya chama yaani Uwanja wa Sokoine kuharibiwa.

Uongozi umesema wamemuagiza aliyekodi uwanja huo na kutokea uharibifu autengeneze ndani ya wiki tatu na amekubali kuukarabati.

Kadhalika CCM wamesema kuanzia sasa mtu au taasisi yoyote itakayokodi uwanja wa Sokoine atapewa masharti maalum mojawapo ni kutoigusa pitch ya kuchezea endapo tukio husika halihusiani na mpira.

Source Star tv habari

My take; Madaktari Mwakyembe na Tulia wameichangamsha Mbeya.
Naibu spika inamhusu!!!!!
 
waludishe viwanja vilivyojengwa na wananchi na serikali ,,sio vya ccm
 
Uongozi wa CCM jijini Mbeya umesema umekasirishwa sana na kitendo cha mali ya chama yaani Uwanja wa Sokoine kuharibiwa.

Uongozi umesema wamemuagiza aliyekodi uwanja huo na kutokea uharibifu autengeneze ndani ya wiki tatu na amekubali kuukarabati.

Kadhalika CCM wamesema kuanzia sasa mtu au taasisi yoyote itakayokodi uwanja wa Sokoine atapewa masharti maalum mojawapo ni kutoigusa pitch ya kuchezea endapo tukio husika halihusiani na mpira.

Source Star tv habari

My take; Madaktari Mwakyembe na Tulia wameichangamsha Mbeya.
Tena wiki 3 ni mbali angepewa siku 7

Sent from my SM-P585 using Tapatalk
 
Kweli ni madaktari kama wanavyo onekana hapo
Uongozi wa CCM jijini Mbeya umesema umekasirishwa sana na kitendo cha mali ya chama yaani Uwanja wa Sokoine kuharibiwa.

Uongozi umesema wamemuagiza aliyekodi uwanja huo na kutokea uharibifu autengeneze ndani ya wiki tatu na amekubali kuukarabati.

Kadhalika CCM wamesema kuanzia sasa mtu au taasisi yoyote itakayokodi uwanja wa Sokoine atapewa masharti maalum mojawapo ni kutoigusa pitch ya kuchezea endapo tukio husika halihusiani na mpira.

Source Star tv habari

My take; Madaktari Mwakyembe na Tulia wameichangamsha Mbeya.
Screenshot_20190924-085502.jpeg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kick za kupambana na Sugu..
Uongozi wa CCM jijini Mbeya umesema umekasirishwa sana na kitendo cha mali ya chama yaani Uwanja wa Sokoine kuharibiwa.

Uongozi umesema wamemuagiza aliyekodi uwanja huo na kutokea uharibifu autengeneze ndani ya wiki tatu na amekubali kuukarabati.

Kadhalika CCM wamesema kuanzia sasa mtu au taasisi yoyote itakayokodi uwanja wa Sokoine atapewa masharti maalum mojawapo ni kutoigusa pitch ya kuchezea endapo tukio husika halihusiani na mpira.

Source Star tv habari

My take; Madaktari Mwakyembe na Tulia wameichangamsha Mbeya.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Uwanja ulikuwa mbovu hata kabla ya tamasha. Tamasha la Fiesta na pambano la mwakinyo yamefanyika pale uhuru bila pitch kuharibika. Matamasha kibao huwa yanafanyika pale ccm kirumba na wahudhuriaji wanakuwa kwenye pitch na pitch kutoharibika.

Udongo uliotumika hapo sokoine kupanda nyasi sio mzuri unaleta tope sana.Rekebisheni pitch kwa kuweka nyasi bandia au mpande nyasi kwenye udongo mzuri.
 
Uwanja ulikuwa mbovu hata kabla ya tamasha. Tamasha la Fiesta na pambano la mwakinyo yamefanyika pale uhuru bila pitch kuharibika. Matamasha kibao huwa yanafanyika pale ccm kirumba na wahudhuriaji wanakuwa kwenye pitch na pitch kutoharibika.

Udongo uliotumika hapo sokoine kupanda nyasi sio mzuri unaleta tope sana.Rekebisheni pitch kwa kuweka nyasi bandia au mpande nyasi kwenye udongo mzuri.
Bwashee aliyekutwa na ngozi ndio kala nyama!
 
Wale waliohoji kwanini Almasi asipokelewe na Sugu msanii mwenzao, kwa tukio hili la uwanja hukumu ingekuwa mbaya zaidi.... kidogo sasa itapozwa na uhusika wa Madaktari wenye Degrees nyingi.
 
Back
Top Bottom