Hivi Kuna Chama chochote Cha siasa Tanzania ambacho kinaweza kutumia pesa za wanachama wake kujenge viwanja vya mpira karibia kila mkoa?(Tena kwa Zama hizi za wanachama wengi).
Ukweli: Hivyo viwanja vyote vinavyomilikiwa na CCM nchini hazijajengwa kwa pesa ya wanaCCM Bali Ni pesa za watanzania wote. Hayo Mambo ya kujimwambafy kuwa Ni Mali ya Chama Ni uongo Mkubwa.
CCM Acheni unafiki. Watanzania tunaelewa Sana sema tunamezea tu.
Swali la kufungia mwaka;
KAMA CCM INGEKUWA NA UWEZO WA KUJENGA VIWANJA VYA MPIRA MBONA SASA HIVI HAIJENGI? JE VIWANJA VYA MPIRA TANZANIA VIMESHATOSHA?