Naibu Katibu Mkuu wa ACT-WAZALENDO Nassor Mazrui alitoa matamshi yanayohamasisha ghasia mnamo tarehe 26.08.2020 akifuatiwa na Mwenyekiti wa chama hicho Maalim Seif ambaye alihamasisha vurugu tarehe 30.08.2020.
Kufuatia hatua hiyo, afisi ya Chama cha Mapinduzi (CCM) wilayani Micheweni imelaani vikali kauli za uchochezi zilizotolewa na viongozi wa ACT-WAZALENDO hivi karibuni.
Katika taarifa iliyotolewa na CCM kwa vyombo vya habari, Maalim Seif ametakiwa kutorejea uchochezi alioufanya mwaka 2001 ambapo watu kadhaa walipoteza uhai wao, wengine wakasalia wakimbizi huku watoto wakisalia kuwa mayatima na baadhi ya wanawake kuwa wakimbizi.
CCM inamtaka Maalim Seif kutorejea uhalifu alioufanya huku wananchi wakitakiwa kuendelea kudumisha amani.
Maalim Seif huchochea maandamano ya vurugu huku familia yake ikiwa bukheir nyumbani.
Kwa miongo kadhaa Maalim Seif amekua akitumiwa na mabeberu kuyumbisha amani ya Zanzibar kama njia ya kukwamisha maendeleo ya visiwa hivyo.
Kufuatia hatua hiyo, afisi ya Chama cha Mapinduzi (CCM) wilayani Micheweni imelaani vikali kauli za uchochezi zilizotolewa na viongozi wa ACT-WAZALENDO hivi karibuni.
Katika taarifa iliyotolewa na CCM kwa vyombo vya habari, Maalim Seif ametakiwa kutorejea uchochezi alioufanya mwaka 2001 ambapo watu kadhaa walipoteza uhai wao, wengine wakasalia wakimbizi huku watoto wakisalia kuwa mayatima na baadhi ya wanawake kuwa wakimbizi.
CCM inamtaka Maalim Seif kutorejea uhalifu alioufanya huku wananchi wakitakiwa kuendelea kudumisha amani.
Maalim Seif huchochea maandamano ya vurugu huku familia yake ikiwa bukheir nyumbani.
Kwa miongo kadhaa Maalim Seif amekua akitumiwa na mabeberu kuyumbisha amani ya Zanzibar kama njia ya kukwamisha maendeleo ya visiwa hivyo.