Uchaguzi 2020 CCM mkishinda Uchaguzi huu, hakikisheni CHADEMA imefutika kabla ya Uchaguzi wa 2025

Uchaguzi 2020 CCM mkishinda Uchaguzi huu, hakikisheni CHADEMA imefutika kabla ya Uchaguzi wa 2025

OMOYOGWANE

JF-Expert Member
Joined
Dec 30, 2016
Posts
4,701
Reaction score
11,920
Haya ni maoni binafsi.

Endapo CCM itashinda na ikaendelea na moto ule ule, basi ihakikishe CHADEMA imefutika kabisa. Mwaka 2025 hakutakuwa na kusikiliza sera, bali kutakuwa na siasa za ushabiki, yaani kama vile unashangilia mechi ya simba na yanga.

Itafikia kipindi ukionekana umevaa sare ya CCM au CHADEMA watu wa upande fulani watakushambulia kama mwizi, hii itatokana na hasira, visasi na machungu ya kushindwa chaguzi nyingi.

Mungu ibariki Tanzania Mungu ilinde Tanzania.
 
Akili zako ni za kipumbavu. Hii inchi inafuata mfumo wa vyama vingi. Lazima vyama zaidi ya kimoja viwepo. Sasa chadema ifutike ili iweje
 
Wanamtegemea Siro tu, na tume, Jwrz walishawaonya kuwa hawana upande
 
Akili zako ni za kipumbavu. Hii inchi inafuata mfumo wa vyama vingi. Lazima vyama zaidi ya kimoja viwepo. Sasa chadema ifutike ili iweje
Ikifutika vitabaki vingine kama vile CHAUMA, CCK, TLP, NLD n.k wasipoifuta

Moto wake watauona 2025. Vijana wasio na ajira kwa miaka 10, wafanyabiashara wajubwa na wadogo wadogo waliofunga biashara zao, watoto waliokosa mikopo, watumishi walionyimwa nyongeza ya mishahara n.k,

Weeeee patachimbika hakutakuwa na kusikiliza wasanii wala sera
 
Nimeisoma KATIBA ya Jamhuri kwa kuirudia mara kadhaa sijaona ikimtambua MBUNGE ALIYEPITA BILA KUPINGWA. Wenzangu nisaidieni kuionesha Ibara hiyo mbali na hawa wanaotajwa na KATIBA. Mzee Mtikila angekuwa HAI angetutafutia ufafanuzi mahakamani:
 
Sera wanafuata kwa wenzetu huko sio sie huku.
 
Hilo mbona lilikuwa Lengo la 2015 na limeshashindikana na upinzani umeongezeka. Pili angalieni umri wa watu ! kuanzia mwezi wa 11 mwaka huu kutaanza makundi ya kugombea Uraisi 2020 na Majaliwa kuzuia wagombeaji kule Lindi tayari imeshamwaibia
 
Back
Top Bottom