DOKEZO CCM - Mkoa wa Ruvuma wapokea rushwa kukata majina ya wagombea

DOKEZO CCM - Mkoa wa Ruvuma wapokea rushwa kukata majina ya wagombea

Hili ni dokezo maalum toka kwa mwananchi mtumiaji wa JF mwenye nia ya kuusaidia umma kuwa na taarifa 'maalum'

Steinar

Senior Member
Joined
Aug 11, 2017
Posts
109
Reaction score
380
Makao Makuu ya CCM - DODOMA,

Tunaomba mfuatilie suala hili kwa sababu linawaumiza wagombea wengi sana katika mkoa wa Ruvuma katika uchaguzi unaofanyika wa CCM.

Mfano wa wazi:
Kuna idadi ya watu waliojitokeza kugombea nafasi ya mwenyekiti wa ccm mkoa wa ruvuma na miongoni mwao yupo anayemaliza muda wake.

Viongozi waliopo wamefanya hujuma za kuchomoa form za wagombea ambao wanadhani wanasifa na kuleta ushindani kwa M/kiti anayemaliza muda wake ili aliyepo sasa ashinde kiurahisi au asipate ushindani kabisa.

Pia baadhi ya wagombea viambatisho vyao wamefanya fitna kwa kuvichomoa ili waonekane hawana sifa za kugombea. Hayo yametokea kwa kushirikiana viongozi wa ofisi za ccm mkoa na baadhi ya wabunge wakiongozwa na mbunge wa nyasa, songea mjini, peramiho na Namtumbo. Hali sio nzuri kabisa.

Pia kuna wagombea waliogombea nafasi ya ujumbe wa Halmashauri kuu ya ccm Taifa (viti 15 bara), hapa ndio shida zaidi hujuma ilimekuwa ya kusikitisha zaidi maana tayari kuna watu waliomba nafasi hizo form zao zimeshachomolewa kwa maana hata makao makuu huko hamtaweza kuona majina yao na hata mkiona viambatisho vyao vimeshachomolewa kwa sababu ya hofu ya baadhi ya wabunge kuhofia kutorudi bungeni 2025 hivyo wameamua kutumia nafasi zao ili kuwadhoofisha hao waliochukua form ili 2025 wasije wakapoteza nafasi zao.

Hali ni mbaya na show hiyo inaongozwa na mbunge wa nyasa, songea mjini, Peramiho na Namtumbo wakishirikiana na viongozi wa hapa mkoani ambao wametanguliza maslahi ya fedha mbele kuliko maslahi ya chama.

Tunaomba CCM makao makuu fuatilieni jambo hili maana hata uachaguzi ngazi ya kata imewaumiza wagombea wengi kwa kukatwa majina kwa fitna za hawa wabunge tajwa hapo juu.
 
Makao Makuu ya CCM - DODOMA,

Tunaomba mfuatilie suala hili kwa sababu linawaumiza wagombea wengi sana katika mkoa wa Ruvuma katika uchaguzi unaofanyika wa CCM.

Mfano wa wazi:
Kuna idadi ya watu waliojitokeza kugombea nafasi ya mwenyekiti wa ccm mkoa wa ruvuma na miongoni mwao yupo anayemaliza muda wake.

Viongozi waliopo wamefanya hujuma za kuchomoa form za wagombea ambao wanadhani wanasifa na kuleta ushindani kwa M/kiti anayemaliza muda wake ili aliyepo sasa ashinde kiurahisi au asipate ushindani kabisa.

Pia baadhi ya wagombea viambatisho vyao wamefanya fitna kwa kuvichomoa ili waonekane hawana sifa za kugombea. Hayo yametokea kwa kushirikiana viongozi wa ofisi za ccm mkoa na baadhi ya wabunge wakiongozwa na mbunge wa nyasa, songea mjini, peramiho na Namtumbo. Hali sio nzuri kabisa.

Pia kuna wagombea waliogombea nafasi ya ujumbe wa Halmashauri kuu ya ccm Taifa (viti 15 bara), hapa ndio shida zaidi hujuma ilimekuwa ya kusikitisha zaidi maana tayari kuna watu waliomba nafasi hizo form zao zimeshachomolewa kwa maana hata makao makuu huko hamtaweza kuona majina yao na hata mkiona viambatisho vyao vimeshachomolewa kwa sababu ya hofu ya baadhi ya wabunge kuhofia kutorudi bungeni 2025 hivyo wameamua kutumia nafasi zao ili kuwadhoofisha hao waliochukua form ili 2025 wasije wakapoteza nafasi zao.

Hali ni mbaya na show hiyo inaongozwa na mbunge wa nyasa, songea mjini, Peramiho na Namtumbo wakishirikiana na viongozi wa hapa mkoani ambao wametanguliza maslahi ya fedha mbele kuliko maslahi ya chama.

Tunaomba CCM makao makuu fuatilieni jambo hili maana hata uachaguzi ngazi ya kata imewaumiza wagombea wengi kwa kukatwa majina kwa fitna za hawa wabunge tajwa hapo juu.
Mmmmh umeajuaje hayo yote wakati hata vikao vya awali havijaanza?
 
2019 na 2020 mliwapelekea moto namna hiyo chadema, sasa 2022 tena 2025 mtanyanyasana sana.

Mtakoma, ccm ina wenyewe. Pambana.
 
Hali ni mbaya na show hiyo inaongozwa na mbunge wa nyasa, songea mjini, Peramiho
Nyasa: Stella Manyanya
Songea Mjini: Ndumbaro
Peramiho: Jenista Mhagama

Wanategemea uhuni ili kulinda ubunge wao. Hawana lolote wahuni hawa.
 
Manyanya wa jimboni kwangu malizia awamu ya mwisho unarembua tu bungeni hakuna LA maana ulilotusaidia Barbara mbovu hakuna madaraja ,umeme hakuna halafu unajiita engineer sasa ukichanganya na tuhuma hizi Time will tell
 
Makao Makuu ya CCM - DODOMA,

Tunaomba mfuatilie suala hili kwa sababu linawaumiza wagombea wengi sana katika mkoa wa Ruvuma katika uchaguzi unaofanyika wa CCM.

Mfano wa wazi:
Kuna idadi ya watu waliojitokeza kugombea nafasi ya mwenyekiti wa ccm mkoa wa ruvuma na miongoni mwao yupo anayemaliza muda wake.

Viongozi waliopo wamefanya hujuma za kuchomoa form za wagombea ambao wanadhani wanasifa na kuleta ushindani kwa M/kiti anayemaliza muda wake ili aliyepo sasa ashinde kiurahisi au asipate ushindani kabisa.

Pia baadhi ya wagombea viambatisho vyao wamefanya fitna kwa kuvichomoa ili waonekane hawana sifa za kugombea. Hayo yametokea kwa kushirikiana viongozi wa ofisi za ccm mkoa na baadhi ya wabunge wakiongozwa na mbunge wa nyasa, songea mjini, peramiho na Namtumbo. Hali sio nzuri kabisa.

Pia kuna wagombea waliogombea nafasi ya ujumbe wa Halmashauri kuu ya ccm Taifa (viti 15 bara), hapa ndio shida zaidi hujuma ilimekuwa ya kusikitisha zaidi maana tayari kuna watu waliomba nafasi hizo form zao zimeshachomolewa kwa maana hata makao makuu huko hamtaweza kuona majina yao na hata mkiona viambatisho vyao vimeshachomolewa kwa sababu ya hofu ya baadhi ya wabunge kuhofia kutorudi bungeni 2025 hivyo wameamua kutumia nafasi zao ili kuwadhoofisha hao waliochukua form ili 2025 wasije wakapoteza nafasi zao.

Hali ni mbaya na show hiyo inaongozwa na mbunge wa nyasa, songea mjini, Peramiho na Namtumbo wakishirikiana na viongozi wa hapa mkoani ambao wametanguliza maslahi ya fedha mbele kuliko maslahi ya chama.

Tunaomba CCM makao makuu fuatilieni jambo hili maana hata uachaguzi ngazi ya kata imewaumiza wagombea wengi kwa kukatwa majina kwa fitna za hawa wabunge tajwa hapo juu.
Sasa kwa ccm hapo cha ajabu ni kipi? Hayo ni mazoezi tu ya kuwaibia kura wapinzani.

Kwa kifupi pambaneni na hali yenu hakuna wa kuwaonea huruma manyang'au wakubwa.
 
Back
Top Bottom