CCM Mkoa wa Simiyu: Jambo Letu Limekubali

CCM Mkoa wa Simiyu: Jambo Letu Limekubali

Stephano Mgendanyi

JF-Expert Member
Joined
May 16, 2020
Posts
2,833
Reaction score
1,301

WhatsApp Image 2025-01-25 at 21.21.53.jpeg

Mwenyekiti wa CCM Mkoa wa Simiyu, Ndugu Shemsa Mohamed, ameongoza kwa mafanikio matembezi ya kuunga mkono maamuzi ya Chama kwa kuteua Mgombea Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Ndugu Dkt. Samia Suluhu Hassan, pamoja na Mgombea Mwenza wake, Ndugu Emmanuel Nchimbi.

Matembezi haya, ambayo yalivuta hisia kubwa kutoka kwa wanachama na wananchi, yamefanyika katika Uwanja wa CCM Wilaya ya Bariadi. Tukio hili limehitimishwa kwa Mkutano wa Hadhara, ambapo viongozi wa Chama walisisitiza mshikamano, umoja, na umuhimu wa kuunga mkono viongozi waliochaguliwa kwa ajili ya uchaguzi ujao.

Kwa pamoja, wanachama wa CCM Mkoa wa Simiyu wameonyesha mshikamano thabiti na dhamira ya kuendelea kuwa mstari wa mbele katika kulinda maadili ya Chama na kusimamia maendeleo ya taifa.

#TunazimaZoteTunawashaKijani
#CCMInaNguvu
#TanzaniaKwanza

Imetolewa na:
Idara ya Siasa na Uenezi
CCM Mkoa wa Simiyu
 

Attachments

  • WhatsApp Image 2025-01-25 at 21.21.54.jpeg
    WhatsApp Image 2025-01-25 at 21.21.54.jpeg
    198.3 KB · Views: 3
  • WhatsApp Image 2025-01-25 at 21.21.55.jpeg
    WhatsApp Image 2025-01-25 at 21.21.55.jpeg
    246.2 KB · Views: 3
  • WhatsApp Image 2025-01-25 at 21.21.56.jpeg
    WhatsApp Image 2025-01-25 at 21.21.56.jpeg
    387.5 KB · Views: 3
  • WhatsApp Image 2025-01-25 at 21.21.59.jpeg
    WhatsApp Image 2025-01-25 at 21.21.59.jpeg
    291.1 KB · Views: 2
  • WhatsApp Image 2025-01-25 at 21.22.00.jpeg
    WhatsApp Image 2025-01-25 at 21.22.00.jpeg
    285.2 KB · Views: 3
  • WhatsApp Image 2025-01-25 at 21.22.02.jpeg
    WhatsApp Image 2025-01-25 at 21.22.02.jpeg
    271.7 KB · Views: 2
  • WhatsApp Image 2025-01-25 at 19.30.43.jpeg
    WhatsApp Image 2025-01-25 at 19.30.43.jpeg
    189.3 KB · Views: 4
  • WhatsApp Image 2025-01-25 at 19.30.40.jpeg
    WhatsApp Image 2025-01-25 at 19.30.40.jpeg
    203.3 KB · Views: 3
  • WhatsApp Image 2025-01-25 at 19.30.37.jpeg
    WhatsApp Image 2025-01-25 at 19.30.37.jpeg
    207.4 KB · Views: 3
  • WhatsApp Image 2025-01-25 at 19.28.38.jpeg
    WhatsApp Image 2025-01-25 at 19.28.38.jpeg
    173 KB · Views: 2
  • WhatsApp Image 2025-01-25 at 19.28.27.jpeg
    WhatsApp Image 2025-01-25 at 19.28.27.jpeg
    182 KB · Views: 4
Mwenyekiti wa CCM Mkoa wa Simiyu, Ndugu Shemsa Mohamed, ameongoza kwa mafanikio matembezi ya kuunga mkono maamuzi ya Chama kwa kuteua Mgombea Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Ndugu Dkt. Samia Suluhu Hassan, pamoja na Mgombea Mwenza wake, Ndugu Emmanuel Nchimbi.
Upumbavu mtupu Ndugu yangu. Uchawa tu
 

Mwenyekiti wa CCM Mkoa wa Simiyu, Ndugu Shemsa Mohamed, ameongoza kwa mafanikio matembezi ya kuunga mkono maamuzi ya Chama kwa kuteua Mgombea Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Ndugu Dkt. Samia Suluhu Hassan, pamoja na Mgombea Mwenza wake, Ndugu Emmanuel Nchimbi.

Matembezi haya, ambayo yalivuta hisia kubwa kutoka kwa wanachama na wananchi, yamefanyika katika Uwanja wa CCM Wilaya ya Bariadi. Tukio hili limehitimishwa kwa Mkutano wa Hadhara, ambapo viongozi wa Chama walisisitiza mshikamano, umoja, na umuhimu wa kuunga mkono viongozi waliochaguliwa kwa ajili ya uchaguzi ujao.

Kwa pamoja, wanachama wa CCM Mkoa wa Simiyu wameonyesha mshikamano thabiti na dhamira ya kuendelea kuwa mstari wa mbele katika kulinda maadili ya Chama na kusimamia maendeleo ya taifa.

#TunazimaZoteTunawashaKijani
#CCMInaNguvu
#TanzaniaKwanza

Imetolewa na:
Idara ya Siasa na Uenezi
CCM Mkoa wa Simiyu
Watu wa taifa hili tumerogwa na nani? Sisi ni watu wa ajabu sana. Tunawezaje kuunga mkono kila kitu ambacho viongozi wetu wanafanya, hata kama ni ujinga? Dunia nzima hupati nchi nyingine yenye watu wenye ugonjwa kama wetu!
 
Mm ata mniue ni Tundu lissu. Kwenye ilo sipepesi macho ndugu zangu.
 
Back
Top Bottom