Pre GE2025 CCM mmefanya makubwa nchi, mnatakiwa kupumzika

Pre GE2025 CCM mmefanya makubwa nchi, mnatakiwa kupumzika

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)

sergio 5

JF-Expert Member
Joined
May 22, 2017
Posts
9,405
Reaction score
10,637
Nimekuja Tena kama mwananchi wa kawaida kuipongeza CCM kwa makubwa iliyoyafanya nchi ila ni mda wao wapumzike WAKAE pembeni wajipange upya

Waruhusu uhuru wa demokrasia, vijana wasitekwe na kuuwawa kisa madaraka wafanye free and fair election washindwe WAKAE pembeni sio dhambi wakiendelea kung'angania watakuja kutoka kwa aibu na wasije kurudi kamwe
 
Nimekuja Tena kama mwananchi wa kawaida kuipongeza CCM kwa makubwa iliyoyafanya nchi ila ni mda wao wapumzike WAKAE pembeni wajipange upya

Waruhusu uhuru wa demokrasia, vijana wasitekwe na kuuwawa kisa madaraka wafanye free and fair election washindwe WAKAE pembeni sio dhambi wakiendelea kung'angania watakuja kutoka kwa aibu na wasije kurudi kamwe
Kama jiji la Dar tu mmeahindwa kusambaza huduma ya maji safi na salama, vipi huko vijijini?
 
Back
Top Bottom