puza46b
Member
- Nov 3, 2010
- 91
- 261
Bila kuandika mengi, CCM watakipata wanachokitafuta Zanzibar. Wamesahau jukumu la Waislam katika kuitetea haki kama wanavyoamriwa na dini.
Wamesahau dini inasemaje kuhusu yule anayejitoa mhanga kuokoa wanaonyanyaswa. Waliuwawa 2001 wakanyamaza. Wamefungwa viongozi wao wa dini wakanyamaza.
Wameshatoa onyo kwamba na liwalo naliwe.
Narudia tena, vita ya Tanzania itaanzia Zanzibar.
Chonde chonde wazee wetu, Warioba, Kikwete, na yeyote yule anayeweza kuwazaba makofi viongozi wa CCM waamke waone hatari inayoikabili nchi.
Hii vita itakuwa ina udini, ukabila na ukanda.
Zanzibar kwa sasa ni kama kifaru kilichobanwa kwenye kona. Hakina pa kutokea zaidi ya kumvamia yule aliyemzibia njia. Hakuna atakayekuwa salama.
Hii post ni woga wangu na simanzi kwa nchi yangu. Nawaomba wana CCM muamke, hamtaimba hayo mapambio kikiwaka.
Hakuna mshindi ndugu wakigombana. Ila CCM mna mengi ya kupoteza kuliko upinzani.
Hivyo basi nawaombeni busara zenu ili hichi kikombe kitupitie mbali.
Sent from my SM-G935W8 using JamiiForums mobile app
Wamesahau dini inasemaje kuhusu yule anayejitoa mhanga kuokoa wanaonyanyaswa. Waliuwawa 2001 wakanyamaza. Wamefungwa viongozi wao wa dini wakanyamaza.
Wameshatoa onyo kwamba na liwalo naliwe.
Narudia tena, vita ya Tanzania itaanzia Zanzibar.
Chonde chonde wazee wetu, Warioba, Kikwete, na yeyote yule anayeweza kuwazaba makofi viongozi wa CCM waamke waone hatari inayoikabili nchi.
Hii vita itakuwa ina udini, ukabila na ukanda.
Zanzibar kwa sasa ni kama kifaru kilichobanwa kwenye kona. Hakina pa kutokea zaidi ya kumvamia yule aliyemzibia njia. Hakuna atakayekuwa salama.
Hii post ni woga wangu na simanzi kwa nchi yangu. Nawaomba wana CCM muamke, hamtaimba hayo mapambio kikiwaka.
Hakuna mshindi ndugu wakigombana. Ila CCM mna mengi ya kupoteza kuliko upinzani.
Hivyo basi nawaombeni busara zenu ili hichi kikombe kitupitie mbali.
Sent from my SM-G935W8 using JamiiForums mobile app