Muosha huoshwa: maalim sefu alipora chama kwa mapalala, kimemshinda sasa amehamia kuleeee kigoma. Forget about CUF, Chafua CCMNdio maana inahitajika Cuf ili kuondoa zile kero zote wanazopata waislamu.
Myogopeni Mungu, mspeleke siasa na chuki zenu msikitini: mgombea anakuwaje mnafiki kabla ya uchaguzi?mlitaka CCM isiweke mgombea?, Hamuna jema nyie, mwataka vurugu tuuuuFunga kazi leo mgombea Urais wa CCM Zanzibar watu wamemwachia msikiti baada ya kuingia , wasema hawawezi kuswali na mnafiki mwaka huu CCM wataipata .
Tupe sababu za kutoa onyoWameshatoa onyo kwamba na liwalo naliwe.
Narudia tena, vita ya Tanzania itaanzia Zanzibar
Ila hujatuambia kwa usahihi kisababishi cha woga wako ni nini, hiyo CCM imefanya nini?Hii post ni woga wangu na simanzi kwa nchi yangu. Nawaomba wana CCM muamke, hamtaimba hayo mapambio kikiwaka.
Hakuna mshindi ndugu wakigombana. Ila CCM mna mengi ya kupoteza kuliko upinzani
CCM wamekosa nini hata kabla ya kupiga kura?Waambie CCM kwanza halafu rejea hapa. Mleta mada ana jambo la msingi wewe unaleta utani?
Kifungu gani kwenue hiyo koroani?Bila kuandika mengi, CCM watakipata wanachokitafuta Zanzibar. Wamesahau jukumu la Waislam katika kuitetea haki kama wanavyoamriwa na dini.
Wamesahau dini inasemaje kuhusu yule anayejitoa mhanga kuokoa wanaonyanyaswa. Waliuwawa 2001 wakanyamaza. Wamefungwa viongozi wao wa dini wakanyamaza.
Wameshatoa onyo kwamba na liwalo naliwe.
Narudia tena, vita ya Tanzania itaanzia Zanzibar.
Chonde chonde wazee wetu, Warioba, Kikwete, na yeyote yule anayeweza kuwazaba makofi viongozi wa CCM waamke waone hatari inayoikabili nchi.
Hii vita itakuwa ina udini, ukabila na ukanda.
Zanzibar kwa sasa ni kama kifaru kilichobanwa kwenye kona. Hakina pa kutokea zaidi ya kumvamia yule aliyemzibia njia. Hakuna atakayekuwa salama.
Hii post ni woga wangu na simanzi kwa nchi yangu. Nawaomba wana CCM muamke, hamtaimba hayo mapambio kikiwaka.
Hakuna mshindi ndugu wakigombana. Ila CCM mna mengi ya kupoteza kuliko upinzani.
Hivyo basi nawaombeni busara zenu ili hichi kikombe kitupitie mbali.
Sent from my SM-G935W8 using JamiiForums mobile app
watakaofanya mambo yatakayosababisha mauaji mengine ya watu wasio na hatia huko Zanzibar nawashauri warejee yaliyowakuta waliofanya mambo yaliyosababisha vifo mwaka 2001 - mmoja tayari "amerejea" kwa Bwana na mwengine ni kipofu (machoye yashakufa haoni).Bila kuandika mengi, CCM watakipata wanachokitafuta Zanzibar. Wamesahau jukumu la Waislam katika kuitetea haki kama wanavyoamriwa na dini.
Wamesahau dini inasemaje kuhusu yule anayejitoa mhanga kuokoa wanaonyanyaswa. Waliuwawa 2001 wakanyamaza. Wamefungwa viongozi wao wa dini wakanyamaza.
Wameshatoa onyo kwamba na liwalo naliwe.
Narudia tena, vita ya Tanzania itaanzia Zanzibar.
Chonde chonde wazee wetu, Warioba, Kikwete, na yeyote yule anayeweza kuwazaba makofi viongozi wa CCM waamke waone hatari inayoikabili nchi.
Hii vita itakuwa ina udini, ukabila na ukanda.
Zanzibar kwa sasa ni kama kifaru kilichobanwa kwenye kona. Hakina pa kutokea zaidi ya kumvamia yule aliyemzibia njia. Hakuna atakayekuwa salama.
Hii post ni woga wangu na simanzi kwa nchi yangu. Nawaomba wana CCM muamke, hamtaimba hayo mapambio kikiwaka.
Hakuna mshindi ndugu wakigombana. Ila CCM mna mengi ya kupoteza kuliko upinzani.
Hivyo basi nawaombeni busara zenu ili hichi kikombe kitupitie mbali.
Sent from my SM-G935W8 using JamiiForums mobile app
Naona wanaolipwa na CCM kupotelezea hoja ndio wameshtuka sasa kuhusu huu wosia unaotoa tahadhari juu ya amani ya nchi.Kifungu gani kwenue hiyo koroani?
Acha uongo wewe nyumbu.
Mleta mada amenitetemesha moyo wangu nikiiangalia Zenj. Kwa nini wapige kura mara mbili?Waambie CCM kwanza halafu rejea hapa. Mleta mada ana jambo la msingi wewe unaleta utani?