CCM msihangaike na hawa akina Polepole, Silaa na Gwajima, bali hangaikeni na wanaowatuma ambao mmewakumbatia Sekta Nyeti na Serikalini huko

CCM msihangaike na hawa akina Polepole, Silaa na Gwajima, bali hangaikeni na wanaowatuma ambao mmewakumbatia Sekta Nyeti na Serikalini huko

GENTAMYCINE

JF-Expert Member
Joined
Jul 13, 2013
Posts
60,660
Reaction score
121,325
Tena Mwenyekiti Taifa CCM ( Rais Samia ) kama Wasaidizi wako wanakuficha sasa Mimi GENTAMYCINE leo 'nakuchana' Mubashara hapa hapa kuwa kwa 85% unazungukwa na Wanafiki na Maadui zako ambao tayari wameshakupima na Kukuona ni Mwepesi kwa Mipango yao 'Ovu' Kwako hivyo shtuka mapema kabla yale ya tarehe 17 Machi, 2021 yakajirudia.

Hawa akina Polepole, Slaa na Gwajima ni kama Askari Migambo Vitani ambao Kazi yao Kuu ni Kutangulizwa uwanja wa Mapambano ili Kupima uwezo wa Adui Mkuu ila Maadui zako unao, unawapenda na nasikia kuwa pia unawaamini sana tu.

Kuna Wawili wapo 'Msaada Kontena' ulishaambiwa uwatoe hutaki kuna Watatu wapo mkabala na Kituo cha Palm Beach ulishaambiwa waangalie kwa umakini husikii na Kuna Watano uko nao katika Serikali yako hii uliambiwa hata usiwateue ila umewateua na ndiyo Vinara Wakuu wa kutaka Kukuangusha usifaniwe.

Rais ukishauriwa uwe unashaurika Oky?
 
Huko CCM mnaogopa sana watu kutoa maoni yao, mnapenda kukaa na mabubu na wajinga wasiohoji chochote, kwenu mtu akihoji anaonekana adui mpaka wapinzani mmewasababishia vilema vya maisha na wengine vifo.

Sijui mnataka tuwe taifa la aina gani kwa hizi akili zenu mgando, adui ujinga atatutawala milele sababu naona tayari tunaongozwa na waliotekwa na huyo adui, taifa limeshapoteza muelekeo.
 
Tena Mwenyekiti Taifa CCM ( Rais Samia ) kama Wasaidizi wako wanakuficha sasa Mimi GENTAMYCINE leo 'nakuchana' Mubashara hapa hapa kuwa kwa 85% unazungukwa na Wanafiki na Maadui zako ambao tayari wameshakupima na Kukuona ni Mwepesi kwa Mipango yao 'Ovu' Kwako hivyo shtuka mapema kabla yale ya tarehe 17 Machi, 2021 yakajirudia.

Hawa akina Polepole, Slaa na Gwajima ni kama Askari Migambo Vitani ambao Kazi yao Kuu ni Kutangulizwa uwanja wa Mapambano ili Kupima uwezo wa Adui Mkuu ila Maadui zako unao, unawapenda na nasikia kuwa pia unawaamini sana tu.

Kuna Wawili wapo 'Msaada Kontena' ulishaambiwa uwatoe hutaki kuna Watatu wapo mkabala na Kituo cha Palm Beach ulishaambiwa waangalie kwa umakini husikii na Kuna Watano uko nao katika Serikali yako hii uliambiwa hata usiwateue ila umewateua na ndiyo Vinara Wakuu wa kutaka Kukuangusha usifaniwe.

Rais ukishauriwa uwe unashaurika Ok?

Mkuu Mizizi Ya Hao Watu Imeenda Chini Sana Ni Ngumu Kuing'oa

Na Mama Ashajua hilo Ameamua Kuacha Bora Liende
 
Hadi sasa sijaona makosa makubwa ya hao watatu
Jerry yeye kusema wabunge hawakatwi kodi hili mbona Ni kosa dogo tu la kumaliza fasta
Gwajima kukataa chanjo ni hiari yake na wapo wengi wamempuuza, sio hata ni Jambo ambalo wanapaswa kuliendeleza
Polepole hadi sasa sijaona kama Anapingana naa Samia , zaidi naona Anapingana na akina Nape
Uadui wa hao watatu anatengenezewa raisi bila sababu
 
Tena Mwenyekiti Taifa CCM ( Rais Samia ) kama Wasaidizi wako wanakuficha sasa Mimi GENTAMYCINE leo 'nakuchana' Mubashara hapa hapa kuwa kwa 85% unazungukwa na Wanafiki na Maadui zako ambao tayari wameshakupima na Kukuona ni Mwepesi kwa Mipango yao 'Ovu' Kwako hivyo shtuka mapema kabla yale ya tarehe 17 Machi, 2021 yakajirudia.

Hawa akina Polepole, Slaa na Gwajima ni kama Askari Migambo Vitani ambao Kazi yao Kuu ni Kutangulizwa uwanja wa Mapambano ili Kupima uwezo wa Adui Mkuu ila Maadui zako unao, unawapenda na nasikia kuwa pia unawaamini sana tu.

Kuna Wawili wapo 'Msaada Kontena' ulishaambiwa uwatoe hutaki kuna Watatu wapo mkabala na Kituo cha Palm Beach ulishaambiwa waangalie kwa umakini husikii na Kuna Watano uko nao katika Serikali yako hii uliambiwa hata usiwateue ila umewateua na ndiyo Vinara Wakuu wa kutaka Kukuangusha usifaniwe.

Rais ukishauriwa uwe unashaurika Ok?
Dah! First time kushindwa ku"decode", hidden hints ya "popoma". Ila ujumbe wako ukitekelezwa italeta more instability kuliko sasa. It will just make things worse. Awamu yenye mafanikio nchi hii ni awamu ya Ben Mkapa, bila kumumunya maneno ikifuatiwa na awamu ya 5 iliokaa kwa miaka 5 tu.
Siri ni kuepuka kubadili serikali mara kwa mara.
 
Tena Mwenyekiti Taifa CCM ( Rais Samia ) kama Wasaidizi wako wanakuficha sasa Mimi GENTAMYCINE leo 'nakuchana' Mubashara hapa hapa kuwa kwa 85% unazungukwa na Wanafiki na Maadui zako ambao tayari wameshakupima na Kukuona ni Mwepesi kwa Mipango yao 'Ovu' Kwako hivyo shtuka mapema kabla yale ya tarehe 17 Machi, 2021 yakajirudia.

Hawa akina Polepole, Slaa na Gwajima ni kama Askari Migambo Vitani ambao Kazi yao Kuu ni Kutangulizwa uwanja wa Mapambano ili Kupima uwezo wa Adui Mkuu ila Maadui zako unao, unawapenda na nasikia kuwa pia unawaamini sana tu.

Kuna Wawili wapo 'Msaada Kontena' ulishaambiwa uwatoe hutaki kuna Watatu wapo mkabala na Kituo cha Palm Beach ulishaambiwa waangalie kwa umakini husikii na Kuna Watano uko nao katika Serikali yako hii uliambiwa hata usiwateue ila umewateua na ndiyo Vinara Wakuu wa kutaka Kukuangusha usifaniwe.

Rais ukishauriwa uwe unashaurika Ok?
Ila unashauriwa ndugu wakigombana , kamata jembe ukalime, ukivuna nao wameshapatana, ila hao rafiki zako hata wakigombana poa tu🏃.
 
Wahenga walisema Kikulacho Kiko Nguoni Mwako!

Pia Wanasema mtu Akitaka kujinyonga mpe Kama Ndefu!
 
Tena Mwenyekiti Taifa CCM ( Rais Samia ) kama Wasaidizi wako wanakuficha sasa Mimi GENTAMYCINE leo 'nakuchana' Mubashara hapa hapa kuwa kwa 85% unazungukwa na Wanafiki na Maadui zako ambao tayari wameshakupima na Kukuona ni Mwepesi kwa Mipango yao 'Ovu' Kwako hivyo shtuka mapema kabla yale ya tarehe 17 Machi, 2021 yakajirudia.

Hawa akina Polepole, Slaa na Gwajima ni kama Askari Migambo Vitani ambao Kazi yao Kuu ni Kutangulizwa uwanja wa Mapambano ili Kupima uwezo wa Adui Mkuu ila Maadui zako unao, unawapenda na nasikia kuwa pia unawaamini sana tu.

Kuna Wawili wapo 'Msaada Kontena' ulishaambiwa uwatoe hutaki kuna Watatu wapo mkabala na Kituo cha Palm Beach ulishaambiwa waangalie kwa umakini husikii na Kuna Watano uko nao katika Serikali yako hii uliambiwa hata usiwateue ila umewateua na ndiyo Vinara Wakuu wa kutaka Kukuangusha usifaniwe.

Rais ukishauriwa uwe unashaurika Ok?
Duh !!
 
Hadi sasa sijaona makosa makubwa ya hao watatu
Jerry yeye kusema wabunge hawakatwi kodi hili mbona Ni kosa dogo tu la kumaliza fasta
Gwajima kukataa chanjo ni hiari yake na wapo wengi wamempuuza, sio hata ni Jambo ambalo wanapaswa kuliendeleza
Polepole hadi sasa sijaona kama Anapingana naa Samia , zaidi naona Anapingana na akina Nape
Uadui wa hao watatu anatengenezewa raisi bila sababu
Mungu ana sababu za kuruhusu haya
 
Umenikumbusha mbali Sana, " Msaada Kontena" 😀 Watu wa Dar wanapenda Sana misaada. Utasikia, Msaada Kanisa.
Hata hivyo, Popoma Leo umetumia code ngumu kwa low scorers kuelewa.
 
Back
Top Bottom