nguruka wa kig0ma
JF-Expert Member
- Jan 16, 2020
- 2,946
- 2,932
Nina maono ya mbali sana wanabodi.
Ninamwona Mh Lissu akiwa na nguvu kubwa ndani na nje ya nchi
Namwona akibebwa na wananchi wengi,
1. Wasomi, hawa wanampenda kwakuwa waneuona ukweli na uwazi kwake.
Wameona ni mtu wa kulinda katiba ya nchi ivyo ataiongoza nchi kwa katiba, na atarudisha mchakato wa katiba mpya ambayo wengi wanamatumaini nayo kwa mustakabari wa taifa.
2. Namwona akibebwa na vijana wengi, wanaotazamia ajira Serikali na wale waliokuwa wakifuatilia hoja zake na utetezi wake bungeni
3. Wananchi wa vijijini hasa wazee wa kike na kiume.
Hawa hawakuzoea kuona wanasiasa wakipigana risasi kwa kusudio la kuuana,
Hivyo tukio lile limewatia huruma na uchungu mkubwa juu ya Lissu, kama wazazi, hasa wakizingatia lissu hakuwa na makuu na msema kweli
4. Nimeona akibebwa na mataifa makubwa duniani,
Kupigwa kwake risasi na kukaa kwake nje kwa muda mrefu, amekuwa kama waziri wa mambo ya nje wa tanzania.
a) kupigwa kwake kumeyaudhi mataifa hayo.
b) kujieleza kwake vizuri juu ya democracy ya tanzania, kumeiweka uchi nchi yetu kiasi kwamba mataifa hayo yameichukia ccm
c) Mahusiano mabaya ya uongozi wa nchi yetu na mataifa hayo ya magharibi na vita vya kiuchumi baina ya magharibi na china, hasa Marekani.
Hawa hawatataka ccm iendelee kuongoza.
Hivyo ushindi kwa Lissu ni dhahili.
My take
Nawaonya CCM, iweni wapole kama hua ili baada ya uchaguzi nchi iwe salama.
Ninyi hamna kibali cha milele kuongoza nchi hii.
Chochote mtakachofanya cha dhulma kwa kutumia vyombo vyenu vya ulinzi na usalama ili mshinde kitatuletea taabu ambayo hatutaisahau milele
Kumbukeni kuwa humu nchini wamo wazazi wenu watoto wenu, bibi zenu, shangazi zenu, binamu zenu nk.
ACHENI HAKI ICHUKUE NAFASI ILI AMANI UTULIVU VIWEPO.
Karibu
Ninamwona Mh Lissu akiwa na nguvu kubwa ndani na nje ya nchi
Namwona akibebwa na wananchi wengi,
1. Wasomi, hawa wanampenda kwakuwa waneuona ukweli na uwazi kwake.
Wameona ni mtu wa kulinda katiba ya nchi ivyo ataiongoza nchi kwa katiba, na atarudisha mchakato wa katiba mpya ambayo wengi wanamatumaini nayo kwa mustakabari wa taifa.
2. Namwona akibebwa na vijana wengi, wanaotazamia ajira Serikali na wale waliokuwa wakifuatilia hoja zake na utetezi wake bungeni
3. Wananchi wa vijijini hasa wazee wa kike na kiume.
Hawa hawakuzoea kuona wanasiasa wakipigana risasi kwa kusudio la kuuana,
Hivyo tukio lile limewatia huruma na uchungu mkubwa juu ya Lissu, kama wazazi, hasa wakizingatia lissu hakuwa na makuu na msema kweli
4. Nimeona akibebwa na mataifa makubwa duniani,
Kupigwa kwake risasi na kukaa kwake nje kwa muda mrefu, amekuwa kama waziri wa mambo ya nje wa tanzania.
a) kupigwa kwake kumeyaudhi mataifa hayo.
b) kujieleza kwake vizuri juu ya democracy ya tanzania, kumeiweka uchi nchi yetu kiasi kwamba mataifa hayo yameichukia ccm
c) Mahusiano mabaya ya uongozi wa nchi yetu na mataifa hayo ya magharibi na vita vya kiuchumi baina ya magharibi na china, hasa Marekani.
Hawa hawatataka ccm iendelee kuongoza.
Hivyo ushindi kwa Lissu ni dhahili.
My take
Nawaonya CCM, iweni wapole kama hua ili baada ya uchaguzi nchi iwe salama.
Ninyi hamna kibali cha milele kuongoza nchi hii.
Chochote mtakachofanya cha dhulma kwa kutumia vyombo vyenu vya ulinzi na usalama ili mshinde kitatuletea taabu ambayo hatutaisahau milele
Kumbukeni kuwa humu nchini wamo wazazi wenu watoto wenu, bibi zenu, shangazi zenu, binamu zenu nk.
ACHENI HAKI ICHUKUE NAFASI ILI AMANI UTULIVU VIWEPO.
Karibu