CCM na CHADEMA hawana tofauti kuhusu muundo wa serikali kwenye katiba mpya

CCM na CHADEMA hawana tofauti kuhusu muundo wa serikali kwenye katiba mpya

Izack Mwanahapa

JF-Expert Member
Joined
Apr 21, 2011
Posts
497
Reaction score
236
Mitazamo ya CCM na CHADEMA kuhusu mapendekezo ya mfumo wa serikali kwenye Rasimu ya katiba mpya inafanana kabisa. wote wamelenga maslahi ya vyama vyao na si maslahi ya wananchi. Kila chama kinataka idadi fulani ya serikali kwa maslahi ya chama husika, vita ya maneno inayoendelea hivi sasa kati ya CCM na CHADEMA haina tija. Wawili hawa wanatunishiana misuli kwa lengo kuona nani mbabe kichama bila kujali mwananchi ananufaikaje. Ni vita ya viongozi wa vyama wanaopigania maslahi ya yao kupitia ushabiki wa wananchi.

Tusidanganyane hakuna nchi yoyote iliyoendelea duniani kwa kuwa na utitiri wa serikali kwa mkupuo. Kwa hali ilivyo katika nchi yetu hivi sasa serikali tatu au serikali mbili ni mzigo kwa wananchi. Ili tuendelee Nchi hii inahitaji serikali moja yenye uongozi makini iwe kwa kuungana au kwa kutokuungana na Zanzibar.

Ila katika mjadala huu wa idadi ya serikali Kinachosikitisha ni kwamba mawazo halisi ya watanzania walio wengi yamemezwa na misimamo na mitazamo ya vyama vyao. Kwani wengi husapoti kishabiki chochote kile kitakachosemwa na kiongozi wa chama chake kwa kudhani kuwa wanakikomoa chama au vyama vingine kumbe wanajikomoa wenyewe.

Katika hali hii ya njaa kali kwa wanasiasa wetu wa vyama vyote, wananchi tunatakiwa kuwa makini katika kuangalia, kusimamia na kuhoji mambo yote ya msingi yanayotuhusu. Tusiache viongozi wa vyama watuburuze kwa maslahi yao binafsi kwani "Kamwe Paka hawezi kujifunga kengele ili panya wamkimbie kabla hajawafikia".

Ni muhimu kujua sababu zako binafsi za kuunga mkono jambo fulani, bila kufanya hivyo tutakuwa tunawaunga mkono watu badala ya kuunga mkono hoja za msingi. Kama unadhani utitiri wa serikali una tija tupe mfano wa nchi iliyoendelea kwa staili hii ya serikali zinazopendekezwa.
 
Mkuu umeongea vema wao wanasiasa acha wapoteze mda kuhangaika huku na kule lakini wakati wa kupigia kura rasimu ukifika kila mtu hawezi kutumia za kuambiwa tu lazima atachanganya na zake lazima tuwatie adabu hawataamini.
 
Mkuu; Unadhani wananchi wanauelewa huo wa kufanya Revolution au wanaburuzwa tuu?
 
Mkuu kuhusu serikal moja Warioba kasema muda bado sio sahihi, nadhan hio katiba kwanza tunajaribu kama itafanya kazi kwenye mfumo wa serikal 3. Ikiwa unsuccessful, tutabadilisha kuweka serikal 4, ikawa bado matatizo tutaweka serikal za majimbo Ikiwa bado issues ndio tutaweka serikal moja. Nadhan hapo itakua wananchi wamepata experience ya kutosha.
Lakin hata hivyo mabadiliko yote hayo yatafanyika wakati ccm ipo madarakani.

Kwa hio watu wajiandae psychologically maana tupo kwenye theory of change.
 
I fully agree, mfumo wa serikali zaidi ya moja ni kwa ajili ya viongozi!

Mwananchi kawaida kama mimi wa Bububu na Ngosha wa Shinyanga... tunataka serikali Moja yes I meant ONE (1).

Hivyo tunasubiri kwamba nani watakaoshinda viongozi ambao wameweza kuwalainiasha tume yetu makini, anyway tume yenyewe si imejaa viongozi? Au sisi wananchi wakilumeKenge? Ambao tunata mfumo wa serikali moja a.k.a. Serikali ndogo.

Nashangaa tulivyokuwa tunabeza kwamba serikali ya Kikwete ina mawaziri wengi ati leo tunataka serikali nyingine zaidi ya hata hizi mbili? Wazee wangu, Mzee Warioba tusaidie wananchi sauti ya wanyonge!
 
Mkuu kuhusu serikal moja Warioba kasema muda bado sio sahihi, nadhan hio katiba kwanza tunajaribu kama itafanya kazi kwenye mfumo wa serikal 3. Ikiwa unsuccessful, tutabadilisha kuweka serikal 4, ikawa bado matatizo tutaweka serikal za majimbo Ikiwa bado issues ndio tutaweka serikal moja. Nadhan hapo itakua wananchi wamepata experience ya kutosha.
Lakin hata hivyo mabadiliko yote hayo yatafanyika wakati ccm ipo madarakani.


Kwa hio watu wajiandae psychologically maana tupo kwenye theory of change.

Mkuu kweli, huenda hawa jamaa wanarecord tamthilia isiyoisha kama ile ya Isidingo.
 
Mitazamo ya CCM na CHADEMA kuhusu mapendekezo ya mfumo wa serikali kwenye Rasimu ya katiba mpya inafanana kabisa. wote wamelenga maslahi ya vyama vyao na si maslahi ya wananchi. Kila chama kinataka idadi fulani ya serikali kwa maslahi ya chama husika, vita ya maneno inayoendelea hivi sasa kati ya CCM na CHADEMA haina tija. Wawili hawa wanatunishiana misuli kwa lengo kuona nani mbabe kichama bila kujali mwananchi ananufaikaje. Ni vita ya viongozi wa vyama wanaopigania maslahi ya yao kupitia ushabiki wa wananchi.

Tusidanganyane hakuna nchi yoyote iliyoendelea duniani kwa kuwa na utitiri wa serikali kwa mkupuo. Kwa hali ilivyo katika nchi yetu hivi sasa serikali tatu au serikali mbili ni mzigo kwa wananchi. Ili tuendelee Nchi hii inahitaji serikali moja yenye uongozi makini iwe kwa kuungana au kwa kutokuungana na Zanzibar.

Ila katika mjadala huu wa idadi ya serikali Kinachosikitisha ni kwamba mawazo halisi ya watanzania walio wengi yamemezwa na misimamo na mitazamo ya vyama vyao. Kwani wengi husapoti kishabiki chochote kile kitakachosemwa na kiongozi wa chama chake kwa kudhani kuwa wanakikomoa chama au vyama vingine kumbe wanajikomoa wenyewe.

Katika hali hii ya njaa kali kwa wanasiasa wetu wa vyama vyote, wananchi tunatakiwa kuwa makini katika kuangalia, kusimamia na kuhoji mambo yote ya msingi yanayotuhusu. Tusiache viongozi wa vyama watuburuze kwa maslahi yao binafsi kwani "Kamwe Paka hawezi kujifunga kengele ili panya wamkimbie kabla hajawafikia".

Ni muhimu kujua sababu zako binafsi za kuunga mkono jambo fulani, bila kufanya hivyo tutakuwa tunawaunga mkono watu badala ya kuunga mkono hoja za msingi. Kama unadhani utitiri wa serikali una tija tupe mfano wa nchi iliyoendelea kwa staili hii ya serikali zinazopendekezwa.

Bro nimekusoma na mchango mzuri, ila tunapozungumzia ukubwa wa serikali katika mfumo wa serikali tatu, sijaona mtu alie andika mchakato kuonyesha huo ukubwa utakuwaje na gharama zake zitakuwa vipi.
Katika mfumo wa sasa wa serikali mbili tuna watu watano wenye hadhi ya uraisi ( marasi wawili na makamu watatu) je hapo mbona hatuongeo gharama.
Mimi nina amini kuwa ukubwa wa serikali moja na tatu hautatofautiana, kwanza ujue kuwa katika agenda ya chadema ni kupunguza gharama za kuendesha serikali kwa kuondoa vyeo na nafasi za kupeana kama fadhila, nadhani unanielewa katika hili.
 
Bro nimekusoma na mchango mzuri, ila tunapozungumzia ukubwa wa serikali katika mfumo wa serikali tatu, sijaona mtu alie andika mchakato kuonyesha huo ukubwa utakuwaje na gharama zake zitakuwa vipi.
Katika mfumo wa sasa wa serikali mbili tuna watu watano wenye hadhi ya uraisi ( marasi wawili na makamu watatu) je hapo mbona hatuongeo gharama.
Mimi nina amini kuwa ukubwa wa serikali moja na tatu hautatofautiana, kwanza ujue kuwa katika agenda ya chadema ni kupunguza gharama za kuendesha serikali kwa kuondoa vyeo na nafasi za kupeana kama fadhila, nadhani unanielewa katika hili.

Kaka kwanza kabisa mimi sijapinga serikali tatu pekee bali hata mbili nimezipinga. Kwa kufafanua tu hapo kwenye nyekundu; Serikali tatu zitaluwa na maraisi watatu, makamu wa raisi watatu, mawaziri wakuu watatu, mabunge matatu, mabaraza ya mawaziri matatu na kwa mujibu wa sera ya hamsini kwa hamsini wabunge wa Tanganyika na Zanziba wanaweza kuwa wawili wawili kila jimbo la uchaguzi. Hayo ni baadhi tu ya mambo hivi hapa utakuwa umeongeza ukubwa wa serikali au umeongeza ukubwa wa serikali? Hivi brother umeshawahi kusikia nchi inayoendeshwa na marais watatu? si lazima iwe live hata kwenye movie au kitabu cha hadidhi umewahi kuona jambo kama hili?
 
Kaka kwanza kabisa mimi sijapinga serikali tatu pekee bali hata mbili nimezipinga. Kwa kufafanua tu hapo kwenye nyekundu; Serikali tatu zitaluwa na maraisi watatu, makamu wa raisi watatu, mawaziri wakuu watatu, mabunge matatu, mabaraza ya mawaziri matatu na kwa mujibu wa sera ya hamsini kwa hamsini wabunge wa Tanganyika na Zanziba wanaweza kuwa wawili wawili kila jimbo la uchaguzi. Hayo ni baadhi tu ya mambo hivi hapa utakuwa umeongeza ukubwa wa serikali au umeongeza ukubwa wa serikali? Hivi brother umeshawahi kusikia nchi inayoendeshwa na marais watatu? si lazima iwe live hata kwenye movie au kitabu cha hadidhi umewahi kuona jambo kama hili?
Brother hapo kwenye red ndo rasimu inasema hivyo? Je haiwezekani kuwa na serikali tatu na kuwa na raisi mmoja?
Mfano:kuwe na nchi mbili (Tanganyika na Zanziba) zenye mamlaka kamili chini ya uongozi wa mawaziri wakuu wenye mamlaka kamili, hawa watapigiwa kura sio kuteuliwa. kila upande utakuwa na baraza dogo la mawaziri katika yale mambo ambayo si ya muungano. kisha patakuwa na serikali kuu ambayo itasimamia mambo makuu ya muungano tu, raisi wa muuungano anaweza kupatika kwa namna tofauti ( mtazamo wangu, atateuliwa kutoka na baraza maalum la mawaziri wa pande zote, vigezo na masharti kuzingatiwa. ( nikoteyari kujibu maswali|).

Kwenye blue, je hao walio anzisha hiyo mifumo iliyopo waliitoa wapi? je nao waliiga mahali au waliibunu? je inakuwa shida gani na sisi tukawa na kitu na jina katika historia ya mifumo na tukawekwa kwenye reference ili wengine waige kutoka kwetu?
 
Chadema ni chama kinachoendeshwa katika misingi ya kilaghai...
-------- akinyamaza huonekana mwenye hekima, ndugu yangu kila siku inaonyesha ni jinsi gani uwezo wako wa akili ulivyo mdogo. before haukuwa hivi, sijui ni kitu gani ulichokula ukawa hivi. please jaribu angalau hata mara moja to be you. do not let your brain be controlled. Tunakupenda bado kwa kuwa tunajua its not you who is inside you. we hope one day you will come out to be you, the one we know. we love you brother

PINGA HOJA KWA HOJA SI KWA VIOJA!!!!!
 
Serikali kubwa/ nyingi ni mdalili ya jamii kushindwa kujipanga yenyewe.
 
Brother hapo kwenye red ndo rasimu inasema hivyo? Je haiwezekani kuwa na serikali tatu na kuwa na raisi mmoja?
Mfano:kuwe na nchi mbili (Tanganyika na Zanziba) zenye mamlaka kamili chini ya uongozi wa mawaziri wakuu wenye mamlaka kamili, hawa watapigiwa kura sio kuteuliwa. kila upande utakuwa na baraza dogo la mawaziri katika yale mambo ambayo si ya muungano. kisha patakuwa na serikali kuu ambayo itasimamia mambo makuu ya muungano tu, raisi wa muuungano anaweza kupatika kwa namna tofauti ( mtazamo wangu, atateuliwa kutoka na baraza maalum la mawaziri wa pande zote, vigezo na masharti kuzingatiwa. ( nikoteyari kujibu maswali|).

Kwenye blue, je hao walio anzisha hiyo mifumo iliyopo waliitoa wapi? je nao waliiga mahali au waliibunu? je inakuwa shida gani na sisi tukawa na kitu na jina katika historia ya mifumo na tukawekwa kwenye reference ili wengine waige kutoka kwetu?[/QUO

Tuache porojo na ushabiki, hakuna nchi iliyoendelea duniani kwa mfumo wa viserikali vingi. Kama unaifahamu mojawapo iweke hapa tuione.
 
Brother hapo kwenye red ndo rasimu inasema hivyo? Je haiwezekani kuwa na serikali tatu na kuwa na raisi mmoja?
Mfano:kuwe na nchi mbili (Tanganyika na Zanziba) zenye mamlaka kamili chini ya uongozi wa mawaziri wakuu wenye mamlaka kamili, hawa watapigiwa kura sio kuteuliwa. kila upande utakuwa na baraza dogo la mawaziri katika yale mambo ambayo si ya muungano. kisha patakuwa na serikali kuu ambayo itasimamia mambo makuu ya muungano tu, raisi wa muuungano anaweza kupatika kwa namna tofauti ( mtazamo wangu, atateuliwa kutoka na baraza maalum la mawaziri wa pande zote, vigezo na masharti kuzingatiwa. ( nikoteyari kujibu maswali|).

Kwenye blue, je hao walio anzisha hiyo mifumo iliyopo waliitoa wapi? je nao waliiga mahali au waliibunu? je inakuwa shida gani na sisi tukawa na kitu na jina katika historia ya mifumo na tukawekwa kwenye reference ili wengine waige kutoka kwetu?[/QUO

Tuache porojo na ushabiki, hakuna nchi iliyoendelea duniani kwa mfumo wa viserikali vingi. Kama unaifahamu mojawapo iweke hapa tuione.
Kaka naomba punguza jazba, sijapenda neno ulilotumia hapo in read, kama umeishiwa hoja tell me i will go.
Je ni nchi gani inatumia mfumo tulio nao sasa ambao tumekaa nao kwa miaka 50?

Kwenye comments zilizo pita nadhani hukusoma vizuri ( soma hapo juu kwenye blue)
 
Mkuu umeongea vema wao wanasiasa acha wapoteze mda kuhangaika huku na kule lakini wakati wa kupigia kura rasimu ukifika kila mtu hawezi kutumia za kuambiwa tu lazima atachanganya na zake lazima tuwatie adabu hawataamini.
CCM WANAYO HOJA NZR SANA
Kaka kwanza kabisa mimi sijapinga serikali tatu pekee bali hata mbili nimezipinga. Kwa kufafanua tu hapo kwenye nyekundu; Serikali tatu zitaluwa na maraisi watatu, makamu wa raisi watatu, mawaziri wakuu watatu, mabunge matatu, mabaraza ya mawaziri matatu na kwa mujibu wa sera ya hamsini kwa hamsini wabunge wa Tanganyika na Zanziba wanaweza kuwa wawili wawili kila jimbo la uchaguzi. Hayo ni baadhi tu ya mambo hivi hapa utakuwa umeongeza ukubwa wa serikali au umeongeza ukubwa wa serikali? Hivi brother umeshawahi kusikia nchi inayoendeshwa na marais watatu? si lazima iwe live hata kwenye movie au kitabu cha hadidhi umewahi kuona jambo kama hili?
UTOFAUTI KATI YA CCM NA CHADEMA UPO HASA KATIKA KUJENGA SERIKALI ,CCM INACHOFANYA NI KUWAFANYA WATU WOTE WAWE NA HAKI SAWA KATIKA RASILIMALI ZAO KUSEWE NA WAKUSEMA WEW NI WAKULE TUACHE CC WA HUKU ,HASA MFUMO MZURI ULIOPO ,ILA WENGINE WANATAKA MAJIMBO IKITOKEA IVO KUNA WARU WATAKUA NYUMA KULIKO WENGINE KWA MAANA YA RASILIMALI, PILI CCM INAJENGA UMOJA KWA KUTUUNGANISHA NA RASILIMALI ,WENGINE WAMAJIMBO WATALETA UTENGANO NA KUBAGUANA IVO ITASABABISHA WATU WASIFURAIE NCHI YAO KWA IYO CCM INAMUELEKEO MZURI NADHA MAPUNGU KAMA YAPO NI YAKUREKEBISHA TU ILA SIO KUANZA UPYA
 
Back
Top Bottom