Naomba niweke wazi, vyama hivi viwili vimekuwa vikishawishi wananchi na wanachama wake kupendekeza maoni yenye maslahi kwa vyama vyao.
CCM wamejikita kuwaeleza wanachama mtazamo wao kama chama na kushawishi watu.
Pia kwa upande wa cdm mikutano wanayoifanya wanawashawishi watu kupendekeza maoni yanayoibeba CHADEMA.
Mfano ni ktk serikali tatu, CHADEMA wanaamini CCM huwa inashinda kupitia kura za wazanzinbar hivyo CHADEMA wanataka gvt tatu ili waweze kuinhia Ikulu kwani kura za zanzibar hazitokuwepo.
CCM wanadai wanadai serikali mbili ili´kura za wazanzibar ziendelee kuwaweka Ikulu.
Kwa mtazamo huu, Vyama hivi havimtzami mtanzania wa chini bali vinatafuta njia ya kuingia Ikulu tu.
Watanzania tutaendelea kubaki nyuma kwani katiba hii haitatusaidia kwani kusaidia vyama vya siasa.
CCM wamejikita kuwaeleza wanachama mtazamo wao kama chama na kushawishi watu.
Pia kwa upande wa cdm mikutano wanayoifanya wanawashawishi watu kupendekeza maoni yanayoibeba CHADEMA.
Mfano ni ktk serikali tatu, CHADEMA wanaamini CCM huwa inashinda kupitia kura za wazanzinbar hivyo CHADEMA wanataka gvt tatu ili waweze kuinhia Ikulu kwani kura za zanzibar hazitokuwepo.
CCM wanadai wanadai serikali mbili ili´kura za wazanzibar ziendelee kuwaweka Ikulu.
Kwa mtazamo huu, Vyama hivi havimtzami mtanzania wa chini bali vinatafuta njia ya kuingia Ikulu tu.
Watanzania tutaendelea kubaki nyuma kwani katiba hii haitatusaidia kwani kusaidia vyama vya siasa.