Pre GE2025 CCM na CHADEMA wote ni matapeli tu, hakuna anayeaminika tu

Pre GE2025 CCM na CHADEMA wote ni matapeli tu, hakuna anayeaminika tu

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)

Shooter Again

JF-Expert Member
Joined
Sep 6, 2022
Posts
5,603
Reaction score
9,263
Mimi huwa najiuliza sana kwanini hawa CHADEMA kila ikifika uchaguzi ni kuiponda Serikali halafu baadae kura zikishahesabiwa wanalialia wameibiwa. Hivi wana akili timamu kweli kila siku mnalia mmeibiwa halafu uchaguzi ujao mnashiriki ndio nikaja kugundua kumbe wote ni matapeli tu.

Amini nawaambia siku CHADEMA akishika nchi hii ataiba kama CCM wanavyoiba ndio maana mimi nasema sitoingia barabarani kuandamana Ili nife nizikwe nioze kwaajili ya mtu kama Mbowe ambalo ni Diktekta wa uongozi mpaka kwenye chama chake hataki kuachia uenyekiti

Hii nchi bora ingekuwa inaruhusu mgombea binafsi ila sio haya majizi ya CCM na CHADEMA ukitaka uamini CHADEMA nayo ni majizi kama CCM. Angalia wabunge wao maeneo waliyoyaongoza.
 
Hata usipoandamana utakuja kufa utazikwa na utaoza, kwahiyo usidhani utaishi milele
 
Mimi hua na jiuliza sana kwanini Hawa CHADEMA Kila ikifika uchaguzi ni kuiponda serikali halafu baadae kura zikishahesabiwa wanalialia wameibiwa hivi Wana akili timamu kweli Kila siku mnalia mmeibiwa halafu uchaguzi ujao mnashiriki ndio nikaja kugundua kumbe wote ni matapeli tu amini nawaambia siku chadema akishika nchi hii ataiba kama ccm wanavyoiba ndio maana Mimi nasema sitoingia barabarani kuandamana Ili nife nizikwe nioze Kwaajili ya jitu kama mbowe ambalo ni diktekta wa uongozi mpaka kwenye chama chake hataki kuachia uenyekiti hii nchi Bora ingekua inaruhusu mgombea binafsi ila sio haya majizi ya ccm na chadema ukitaka uamini chadema nayo ni majizi kama ccm angalia wabunge wao maeneo waliyoyaongoza
Kwa hiyo usipoandamana utaishi milele? Na mbona unabwabwaja sana kuhusu maandamano kwani kuna mtu kakuomba uandamane? inaelekea una matatizo ya msongo wa mawazo haya mayowe yako si bure.
 
Kwa hiyo usipoandamana utaishi milele? Na mbona unabwabwaja sana kuhusu maandamano kwani kuna mtu kakuomba uandamane? inaelekea una matatizo ya msongo wa mawazo haya mayowe yako si bure.
Kwani nimekuita kwenye Uzi huu si nishobo zako tu Bora nife sehemu yeyote ila sio Kwa ujinga wa kuandamana Ili jitu lingine lile keki ya taifa mda huo nikiwa nipo chini. Ya ardhi
 
na kwa watu wanaotoa kauli kama za Nape " matokea hutegemea mtu anayehesabu na anayetangaza"...tuwafanye nini sisi kama wapiga kura?
Adui wa mtu ni mtu, hivyo wanao hesabu na wanao Tangaza ndio ndio wanapaswa sasa kushikishwa adabu maana tumeambiwa ndio wenye matatizo- kuhesabu ni tatizo na kutangaza pia ni tatizo. Tuanze na wao...
 
Ni kweli wote ni matapeli lakini mmoja ni tapeli zaidi tena mzoefu. hawalingani
 
Ni kweli wote ni matapeli lakini mmoja ni tapeli zaidi tena mzoefu. hawalingani
Huyo mmoja tapeli zaidi sababu ndio kashikilia Dola hata huyobmwingine akishikilia Dola atakua kama huyo huyo
 
Wewe inabidi ukapimwe mara mbili maana unaandikaje maoni Kwa mtu mwenye matatizo ya akili maisha Yako magumu hasira kamalizie Kwa kulala barabarani hamna mjinga wa kuandamana tanzania
Hao wanaokubeza eti umekataa kuandamana waambie sasa waamdamane uone. Siku ya siku wanazima data kabisa na kupotea JF wiki. Muulize Mange Kimambi ana taarifa zao hao wajinga!!
 
Back
Top Bottom