Uchaguzi 2020 CCM na Demokrasia pande mbili za sarafu

Uchaguzi 2020 CCM na Demokrasia pande mbili za sarafu

Deogratias Mutungi

Senior Member
Joined
Oct 1, 2019
Posts
140
Reaction score
181
Nawasalimu Wana JF
Nawajulisha kuwa nimefatilia kwa karibu sana mchakato wa kura za maoni ndani ya Chama cha Mapinduzi CCM kwa ngazi ya Wenyeviti na Wajumbe wake uliomalizika usiku wa kuamkia jana. Kutokana na tafiti zangu nimegundua CCM ni miongoni mwa vyama vya siasa hapa nchini vyenye mfumo dhabiti na wa kidemokrasia katika kuwapata wagombea wake. Mantiki ninayoikusudia hapa kuiwakilisha kwenu ni Mfumo wa demokrasia ndani CCM ambao nimeuona kuwa nguzo pekee inayoendelea kukifanya chama hiki kiendelee kuaminika na kushika dola.

Sababu za hoja zangu zipo wazi na zinajikita katika haki na kufata katiba ya chama chao. Mfano;
(i) Wagombea wote walio shindwa kuleta maendeleo majina yao yalikatwa ngazi ya Wilaya.
(ii) Waliokuwa na makundi majina yao yalikatwa ngazi ya Wilaya.
(iii) Waliotoa rushwa na kufanya kampeni kabla ya wakati nao walikatwa kwa mujibu wa taratibu za chama.

Funzo ni nini hapa? Wanasiasa na Wana CCM wajifunze kuwajibika na kuleta maendeleo kwa wananchi aidha watambue CCM si hati miliki ya mtu bali taasisi ya watu inayojikita kwenye haki na demokrasia ya kweli.

Ni rai yangu kwa vyama vya upinzani kujifunza kwa chama hiki kikongwe ili kuweza kuleta ushindani wa kweli ndani ya siasa zetu hapa nchini kwa maana ya demokrasia na taratibu zake ndani ya mifumo yetu ya uchaguzi.
 
Hiyo ilikuwa CCM ipi Mkuu? Hii ya sasa hivi mbona kama figisu ni nyingi mno. Huku Kwetu walevi na mamluki wamepigishwa kura na tutegemee mpasuko. Au umeandika hii post ukiwa huko kuzimu kwa kina baba wa taifa
 
Ninavyofahamu;

CCM ndicho kilileta sera ya vyama vingi.

Watanzania 80% walikataa vyama vingi.

Mwenyekiti wa CCM Nyerere akapitisha sera hiyo japo watu hawakutaka.

Kwa hiyo, Tanzania tuna Chama kimoja, hivyo vyama vingine ni matawi ya CCM na au mamluki.

Kimsingi, watu kama Mrema, Marando, Mbatia na Lipumba ni watu Fulani kama mapandikizi hivi maana wao ni kama walipewa kazi maalumu I'll kuuhadaa ulimwengu kwamba tuna vyama Vingi ili tupate misaada.

Tanzania ni nchi moja ya chama kimoja na matawi kadhaa ya CCM.

CCM itatawala daima.
 
Hivi hawa waliochapana makonde Yombo vituka na wale kudukuliwa sauti ni ccm wepi?
 
Kuna Mwenyekiti wa kitongoji kashindwa kuleta maji ?
 
Kwl ule moshi umeathir wengi ndiomana watalii wanakuja kushangaa viumbe vya ajabu vnavyopatikana huku kusini mwa jangwa la sahara
Nawasalimu Wana JF
Nawajulisha kuwa nimefatilia kwa karibu sana mchakato wa kura za maoni ndani ya Chama cha Mapinduzi CCM kwa ngazi ya Wenyeviti na Wajumbe wake uliomalizika usiku wa kuamkia jana. Kutokana na tafiti zangu nimegundua CCM ni miongoni mwa vyama vya siasa hapa nchini vyenye mfumo dhabiti na wa kidemokrasia katika kuwapata wagombea wake. Mantiki ninayoikusudia hapa kuiwakilisha kwenu ni Mfumo wa demokrasia ndani CCM ambao nimeuona kuwa nguzo pekee inayoendelea kukifanya chama hiki kiendelee kuaminika na kushika dola.

Sababu za hoja zangu zipo wazi na zinajikita katika haki na kufata katiba ya chama chao. Mfano;
(i) Wagombea wote walio shindwa kuleta maendeleo majina yao yalikatwa ngazi ya Wilaya.
(ii) Waliokuwa na makundi majina yao yalikatwa ngazi ya Wilaya.
(iii) Waliotoa rushwa na kufanya kampeni kabla ya wakati nao walikatwa kwa mujibu wa taratibu za chama.

Funzo ni nini hapa? Wanasiasa na Wana CCM wajifunze kuwajibika na kuleta maendeleo kwa wananchi aidha watambue CCM si hati miliki ya mtu bali taasisi ya watu inayojikita kwenye haki na demokrasia ya kweli.

Ni rai yangu kwa vyama vya upinzani kujifunza kwa chama hiki kikongwe ili kuweza kuleta ushindani wa kweli ndani ya siasa zetu hapa nchini kwa maana ya demokrasia na taratibu zake ndani ya mifumo yetu ya uchaguzi.
 
Nawasalimu Wana JF
Nawajulisha kuwa nimefatilia kwa karibu sana mchakato wa kura za maoni ndani ya Chama cha Mapinduzi CCM kwa ngazi ya Wenyeviti na Wajumbe wake uliomalizika usiku wa kuamkia jana. Kutokana na tafiti zangu nimegundua CCM ni miongoni mwa vyama vya siasa hapa nchini vyenye mfumo dhabiti na wa kidemokrasia katika kuwapata wagombea wake. Mantiki ninayoikusudia hapa kuiwakilisha kwenu ni Mfumo wa demokrasia ndani CCM ambao nimeuona kuwa nguzo pekee inayoendelea kukifanya chama hiki kiendelee kuaminika na kushika dola.

Sababu za hoja zangu zipo wazi na zinajikita katika haki na kufata katiba ya chama chao. Mfano;
(i) Wagombea wote walio shindwa kuleta maendeleo majina yao yalikatwa ngazi ya Wilaya.
(ii) Waliokuwa na makundi majina yao yalikatwa ngazi ya Wilaya.
(iii) Waliotoa rushwa na kufanya kampeni kabla ya wakati nao walikatwa kwa mujibu wa taratibu za chama.

Funzo ni nini hapa? Wanasiasa na Wana CCM wajifunze kuwajibika na kuleta maendeleo kwa wananchi aidha watambue CCM si hati miliki ya mtu bali taasisi ya watu inayojikita kwenye haki na demokrasia ya kweli.

Ni rai yangu kwa vyama vya upinzani kujifunza kwa chama hiki kikongwe ili kuweza kuleta ushindani wa kweli ndani ya siasa zetu hapa nchini kwa maana ya demokrasia na taratibu zake ndani ya mifumo yetu ya uchaguzi.

Nguzo pekee ya ccm kuendelea kuwa madarakani sio hizo sifa ulizotaja, bali ni cheo cha mwenyekiti wake ambaye huwa rais na amiri jeshi mkuu wa vyombo vya usalama, kwa madaraka yake huweza kuvitumia vyombo vya dola kuwafanyia ukatili wapinzani wake hatimae kutangazwa washindi. Katiba ya nchi yetu humpa rais nguvu ambayo huweza kufanya lolote bila kushitakiwa, hivyo hutumia nguvu hiyo kufanya lolote kuhakikisha ccm inabaki madarakani. Ndio maana tunaona maagizo yake kwenye box la kura, na vyombo vya dola ndio huratibu ukatili huo ili ccm kutangazwa washindi.
 
Naona watabadilika baada ya kusajili hili jembe
tapatalk_1571921669725.jpeg
 
Uanzishwaji wa vyama vingi ni mahitaji ya wananchi kuleta maendeleo bila ya ubaguzi.Ni mfumo unaoshindanisha viongozi wanaoshinda kwa hoja zinazokubarika na wananchi wote sio kikundi(clique) cha watu wachache.Na ndio maana inafaa kwenye katiba pawepo na kifungu kiongozi anayechaguliwa ashinde zaidi ya 50% ya majority votes yaani unajumulisha kula za viongozi za vyama vyote yule anayepata zaidi ya50% achaguliwe
 
Bila pesa huwezi shida kula za maoni ndani ya ccm. Mkono mtupu haulambwi
 
Back
Top Bottom