CCM na mbinu chafu za kuingilia mabaraza ya katiba.soma hapaa

CCM na mbinu chafu za kuingilia mabaraza ya katiba.soma hapaa

ndupa

JF-Expert Member
Joined
Jan 25, 2008
Posts
4,403
Reaction score
148
Mbinu za ccm za kuharibu mchakato wa upatikanaji wa katiba mpyaa zimeanza kujidhihirishaa wazi.uku wilaya ya moshi vijijini wamewaita wajumbe wote wa mabaraza ya katiba etii ambao ni wanachama wa ccm,ili wawapandikize mawazo yao ya ccm kuhusu rasimu ya katiba na hii ni wazi wamefanikiwa kwa upande wa moshi vijijini baada ya jana kufanya mkutano na wajumbe wa mabaraza ya katibaa wa wilaya ya moshi vijijini
Kinachoonekana ni wazi kwamba hawa wajumbe wamekuwa lobbied jana na ni dhahiri watakayoyatoa maoni yatakuwa si yenye interest na wananchi,bali ni CCM
last week mwenyekiti wa tume jaji mstaafu joseph warioba alitoaa wasaha kwamba mabaraza ya katiba hayatakiwi kuingiliwaa na taasisi yeyote aau chama.sasa cha kushangaza ccm wameanza uchafu huo kwa kuyaingilia na kuyarubuni
MY TAKE:attention kwa wananchi waliohusika kwa namna moja au nyingine katika kuwachagua wa wakilishi ambao watakuwa wajumbe na kuwawakilisha katika mchakato wa upatikanaji wa katiba mpya ambayo inategemewa kuwa tayari kabla ya 2015.kwamba wajumbe ambao mnawategemea na kuwaamini kwamba watawakilisha maoni yenu imekuwa kinyume sasa bali wengi wao watawakilisha maoni yenye matakwa na ccm..2.attention kwa jaji warioba,mabaraza ya katiba ya moshi vijijini ayafute haraka kwa sababu yameshaingiliwaa na ccm na kokote kwenye wilaya yeyote patakaposikika tuhuma hizi..na pia na kuwapa onyo kali chama cha mapinduzi.
 
Hilo lipo wazi kabisa. CCM lazima ichukue advantage ya ujinga wa wananchi wake( sio wote but 85% ya wananchi hawajui katiba inaumuhimu gani hivyo wao ni bora liende ilimradi wameshiba ugali na wakipewa posho mioyo yao safi tu). Watu wanatoa mawazo mazuri lakini hawapewi nafasi. Mwisho wa siku mjumbe anapewa Tshs 30,000 anapitisha katiba ya ngeseki.
 
Hapa Arusha leo wamewaita wajumbe wote wa mabaraza ya katiba wanaotokana na ccm hivi ninavyoandika kikao kinaendelea hapo ccm mkoa na mimi kama mjumbe wa baraza la katiba nilipewa mwaliko nikakataa kihudhiria. Ccm inadhani kwamba inayohati miliki ya Tz ila wanakosea sana na lazima watambue kuwa hii nchi ni yetu sio yao. Panga pangua tutakutana nao huko kwenye mabaraza na chamoto watakiona. RIP ccm
 
Mbinu za ccm za kuharibu mchakato wa upatikanaji wa katiba mpyaa zimeanza kujidhihirishaa wazi.uku wilaya ya moshi vijijini wamewaita wajumbe wote wa mabaraza ya katiba etii ambao ni wanachama wa ccm,ili wawapandikize mawazo yao ya ccm kuhusu rasimu ya katiba na hii ni wazi wamefanikiwa kwa upande wa moshi vijijini baada ya jana kufanya mkutano na wajumbe wa mabaraza ya katibaa wa wilaya ya moshi vijijini
Kinachoonekana ni wazi kwamba hawa wajumbe wamekuwa lobbied jana na ni dhahiri watakayoyatoa maoni yatakuwa si yenye interest na wananchi,bali ni CCM
last week mwenyekiti wa tume jaji mstaafu joseph warioba alitoaa wasaha kwamba mabaraza ya katiba hayatakiwi kuingiliwaa na taasisi yeyote aau chama.sasa cha kushangaza ccm wameanza uchafu huo kwa kuyaingilia na kuyarubuni
MY TAKE:attention kwa wananchi waliohusika kwa namna moja au nyingine katika kuwachagua wa wakilishi ambao watakuwa wajumbe na kuwawakilisha katika mchakato wa upatikanaji wa katiba mpya ambayo inategemewa kuwa tayari kabla ya 2015.kwamba wajumbe ambao mnawategemea na kuwaamini kwamba watawakilisha maoni yenu imekuwa kinyume sasa bali wengi wao watawakilisha maoni yenye matakwa na ccm..2.attention kwa jaji warioba,mabaraza ya katiba ya moshi vijijini ayafute haraka kwa sababu yameshaingiliwaa na ccm na kokote kwenye wilaya yeyote patakaposikika tuhuma hizi..na pia na kuwapa onyo kali chama cha mapinduzi.
Hawa CCM ni watu wa kuwahurumia. Hivi wanadhani dunia hii ya karne ya 21 ni ya kuchakachua vitu muhimu kama hivi? Hivi wanadhani hata kama wakifanikiwa kuchakachua na ikapita katiba wanayoitaka wao, wataendelea kutawala kwa amani na kufaidi utawala wao?
Let them not undermine power of the people to determine and decide how they future should be
 
Episode za chadema bana haziishi tu.
 
Back
Top Bottom